mpesabusiness profile

mpesabusiness

Jun 15, 2026

Post media

Kuna vitu tu ukivizingatia vizuri basi ata huo mtaji nimesema una toboa vizuri sana yani. Moja hakikisha cash ndo unakukuwa nyingi sana kama mtaji wako ni kuanzia milion moja na nusu cash ndo uweke iwe nyingi sana upande flot usifanye miamala ya hela nyingi sababu utapoteza flot nyingi ambayo ungefanya miamala mingi yenye faida kuliko muamala mmoja Alafu kwenye kutoa nazani mnajua vizuri tunatumia lain gani Kwa upande wa kutoa hela, hizo mbinu ukizitumia unapata hela vizuri tu. #MixByYas #MPESA #AirtelKenya #mpesafaricom

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.