mpesabusiness profile

mpesabusiness

Jun 4, 2026

Post media

Hili swala tusaidiane na voda na wenyewe ili turudi huku kwenye till Kwa kufanya hivi Kiuhalisia kurudi haraka tu kwakumwambia mteja kuwa toa Kwa till itakuwa ngum hatutofanya kazi we utagoma mwingine atatumia lipa kutoa ko bado itakuwa ngum Nini kifanyike. Tunaomba voda andae message za kuwapa onyo Kali wateja mfano kuanzia sasa hupaswi kutoa hela kutumia lipa ya wakala tumia till yakawaida sio lipa usipo fanya hivyo lain inafungwa mazima. Hiyo labda ndo itakuwa njia rahisi sana kuturudisha kwenye till tunaomba Vodacom popote malipo mtusikie. Vodacom Tanzania #MPESA #MPESASafaricom #vodacomtanzania

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.