ireeemakaa profile

ireeemakaa

Mar 28, 2025

Hakuna picha au video

Post hii haina picha au video ya kuonesha

Daah!! mteja wa artle money alitoa pesa kwa wakala wakala akampatia cash baada ya mda kidogo wakala akapata sms kuwa mteja karudisha muamala akidai katoa pesa kimakosa na akati alimuhuudumia vizuri akapiga sim 100 wakamwambia watashuhulikia tatizo lake chaa ajabu besa ikarudishwa kwa mteja badae wakala akampigia mteja alie toa pesa na kumuuliza mbona umezuia muamala na ukikuja kutoa nikakupa cash mteja akasema yeye laini yake walipita mawakala wa kusajili lain waka swap so walihamisha pesa zake pasipo kujua MIMI NAULIZA NI SAWA WAKALA KUBEBESWA MZIGO HUO NA HAIKUWA KOSA LAKE je? Yeye angetambua vipi uyu ni tapeli anakuja tutoa hela kwangu na kwann artel waruhusu kurudisha muamala kwa muhusika bila kuconfirm na wakala Artel mfumo wao hauko sawa wanatakiwa kudhibiti wasajili laini kufanya utapeli wa namna hio NIHUZUNI JMN

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.