mpesabusiness profile

mpesabusiness

Jul 5, 2026

Post media

Asilimia kubwa mtu anapotaka kufungua ofisi ya uwakala watu huwa hawamwambii vitu vya kufanya ila huwa wanasema tu hela ipo basi. Sasa uwakala kun vitu vya kuzingatia ili uione hela hiyo wanayo sema. Wala usivunjike moyo hela kweli ipo. #MPESA #MixByYas #Vodacom

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.