mwashada profile

mwashada

Feb 3, 2025

Post media

Jaman hiv kweli, yaan mtu unamfanyia muamala siku nne zinapita ndo anakuja ansema hela haikufika. Hyo msg tu kwanza naitoa wapi, wakati siku mbili tu msg nafuta.

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.