kilengweentreprises profile

kilengweentreprises

6d ago

Hakuna picha au video

Post hii haina picha au video ya kuonesha

Habari jamani, nataka kuanza hii kazi ya uwakala na sina muda wa kuifanya mwenyewe sasa nikiajiri mtu natakiwa nimlipe kiasi gani? Wakati huo huo biashara iendelee kutengeneza faida. Naomba kwa mwenye uzoefu hapa anisaidie.

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.