michaelkyando profile

michaelkyando

4d ago

Post media

Naombeni msaada jaman Kwanza mii nina utaratibu wangu wa kuangalia kamisheni sasa leo nmeangalia nmekuta imepungua na nimejaribu kuwapigia wananambia niongee na wakala mkuu sasa sijui vinahusiana vipi AIRTEL MNATUCHOSHA

Je wewe ni wakala?

Pakua Wakala Forum ili ujiunge na jukwaa la mawakala wa huduma za kifedha kwenye mijadala mbalimbali.