Machapisho

Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

Kitu muhim sana sana kwenye uwakala ni eneo zuri kuacha mtaji.

Yani kama unamtaji wa Milion mbili afu unapata faida chini ya 10000 na una muda mwingi eneo hilo aisee kiongozi hama hapo Hilo eneo halifai Kwa biashara lbda mzunguko mdogo wawatu Yani watu hawafanyi miamala kabisa.

Sababu ya pili we kubali au kataa inaweza kuwa Eneo lako hilo limechezewa watu wasifke kabisa kuja kufanya miamala kwako inawezekana na nina uhakika yapo haya mfano huu nakupa.

Kuna rafiki angu apo kigamboni tungi Dar es salaam alifungua ofisi hio ya uwakala sasa akawa hapati wateja kabisa na mtaji upo eneo zuri tukawa tunashangaa sana ndipo nikamwambia Kuna kitu hapa akawa anakataa siku moja binti akapita ofisini pale tukamuona kabisa na jirani yetu kaenda kutoa hela sehem ingine asa wakati anarudi ndo akaja akasema mbona mnafunga funga ofisi saizi ndo mnafungua toka asubhi tuka stuka tukamtukana acha kujikosha umetupita pako wazo unasema tumefunga akasepa na hasira, jioni tena watu wawili hivo hivo wakasema kama huyo dada jirani.

Weeeee mapema kwenda kuhangaika kumbe kweli alikuwa kachezewa yani ila aliset fresh naakawa anapata wateja.

Kwaiyo Jameni msali sana muombe sana Dua pia kwenye ofisi zenu omba kemea sana uchafu utoke ofisini kwako.

#Vodacom #MPESA #MPESASafaricom #Airtel
mpesabusiness

mpesabusiness

1 hour ago

Kitu muhim sana sana kwenye uwakala ni eneo zuri kuacha mtaji. Yani kama unamtaji wa Milion mbili afu unapata faida chini ya 10000 na una muda mwingi eneo hilo aisee kiongozi hama hapo Hilo eneo halifai Kwa biashara lbda mzunguko mdogo wawatu Yani watu hawafanyi miamala kabisa. Sababu ya pili we kubali au kataa inaweza kuwa Eneo lako hilo limechezewa watu wasifke kabisa kuja kufanya miamala kwako inawezekana na nina uhakika yapo haya mfano huu nakupa. Kuna rafiki angu apo kigamboni tungi Dar es salaam alifungua ofisi hio ya uwakala sasa akawa hapati wateja kabisa na mtaji upo eneo zuri tukawa tunashangaa sana ndipo nikamwambia Kuna kitu hapa akawa anakataa siku moja binti akapita ofisini pale tukamuona kabisa na jirani yetu kaenda kutoa hela sehem ingine asa wakati anarudi ndo akaja akasema mbona mnafunga funga ofisi saizi ndo mnafungua toka asubhi tuka stuka tukamtukana acha kujikosha umetupita pako wazo unasema tumefunga akasepa na hasira, jioni tena watu wawili hivo hivo wakasema kama huyo dada jirani. Weeeee mapema kwenda kuhangaika kumbe kweli alikuwa kachezewa yani ila aliset fresh naakawa anapata wateja. Kwaiyo Jameni msali sana muombe sana Dua pia kwenye ofisi zenu omba kemea sana uchafu utoke ofisini kwako. #Vodacom #MPESA #MPESASafaricom #Airtel

Hizi lain za pochi hazisajiliwi tu haraka haraka kama lipa hizo za kawaida hakuna..

Hizi zinautaratibu mlefu lazima uweke barua na picha ya genge au biashara unayo fanya na barua pia mawakala ndo wanajua jinsi ya kufanya pia baada ya kujaza kila kitu mteja atapiga menu ya kuomba lipa namba.

Akishapewa lipa namba mimi wakala naichukua tena naituma voda Kwa email ili waweze ipitisha tena ndo lain ianze kufanya kazi sasa ndomaana tunasema ni masaa 24 adi 48 na inaweza kupita hapo kwaiyo hizo ndo hatua za lipa pochi ndomaana wengi sana wana lipa namba tayari ila lain bado haijaruhusiwa kufanya kazi lazima ipitishwe Kwanza na voda yani approved.

Apo tumeelewana Asanteni.

#MixByYas #Vodacom #MPESA #Airtel
mpesabusiness

mpesabusiness

8 hours ago

Hizi lain za pochi hazisajiliwi tu haraka haraka kama lipa hizo za kawaida hakuna.. Hizi zinautaratibu mlefu lazima uweke barua na picha ya genge au biashara unayo fanya na barua pia mawakala ndo wanajua jinsi ya kufanya pia baada ya kujaza kila kitu mteja atapiga menu ya kuomba lipa namba. Akishapewa lipa namba mimi wakala naichukua tena naituma voda Kwa email ili waweze ipitisha tena ndo lain ianze kufanya kazi sasa ndomaana tunasema ni masaa 24 adi 48 na inaweza kupita hapo kwaiyo hizo ndo hatua za lipa pochi ndomaana wengi sana wana lipa namba tayari ila lain bado haijaruhusiwa kufanya kazi lazima ipitishwe Kwanza na voda yani approved. Apo tumeelewana Asanteni. #MixByYas #Vodacom #MPESA #Airtel

Wengi sana ambao hawajui biashara huwa na fikra moja tu sasa nikijarubu nikafeli?

Yani kama wewe huwa unajiuliza hivo basi adi unaingia kaburini huto fanikiwa kwenye biashara yoyote Ile wengi watakwambia wewe uwakala utaweza wapo wenye kazi zao, aya ukitapeliwa je yani maswali ya hovyo 

Kwani ukinunua pikipiki haiwezi pata ajali au ukiiuza mboga mboga huwezi pata hasara yani ni maswali ya hovyo na hofu yakukurudisha nyuma 

Chakufanya Anza kuchunguza biashara unayo taka kufanya ujue faida, hasara, changamoto, labda nauli au bei za bizaa kila kitu alafu Anza kujifunza Kwa walio fanikiwa Kwa hiyo biashara wagande bora uwe chawa ili mladi tu uweze kujua siri ya biashara hiyo.

Kila biashara ukipatia sheria zake vizuri lazima ikutoe vizuri anza sasa.

#MixByYas #MPESASafaricom #MPESA #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

18 hours ago

Wengi sana ambao hawajui biashara huwa na fikra moja tu sasa nikijarubu nikafeli? Yani kama wewe huwa unajiuliza hivo basi adi unaingia kaburini huto fanikiwa kwenye biashara yoyote Ile wengi watakwambia wewe uwakala utaweza wapo wenye kazi zao, aya ukitapeliwa je yani maswali ya hovyo Kwani ukinunua pikipiki haiwezi pata ajali au ukiiuza mboga mboga huwezi pata hasara yani ni maswali ya hovyo na hofu yakukurudisha nyuma Chakufanya Anza kuchunguza biashara unayo taka kufanya ujue faida, hasara, changamoto, labda nauli au bei za bizaa kila kitu alafu Anza kujifunza Kwa walio fanikiwa Kwa hiyo biashara wagande bora uwe chawa ili mladi tu uweze kujua siri ya biashara hiyo. Kila biashara ukipatia sheria zake vizuri lazima ikutoe vizuri anza sasa. #MixByYas #MPESASafaricom #MPESA #Vodacom

𝙃𝙐𝘿𝙐𝙈𝘼 𝙔𝘼 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙉𝘼 𝙐𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀

☑️ 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗟𝗔 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙋𝙀𝙎𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀

> 𝙑𝙄𝙂𝙀𝙕𝙊
➤ 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙏𝙀𝙇
➤ 𝙏𝙄𝙉 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼
➤ 𝙁𝙇𝙊𝙏 𝙔𝘼 𝙇𝘼𝙆𝙄 𝙈𝙊𝙅𝘼
➤ 𝙆𝙄𝙏𝘼𝙈𝘽𝙐𝙇𝙄𝙎𝙃𝙊 / 𝙋𝘼𝙎𝙎𝙋𝙊𝙍𝙏

*_TILL ZA HALOPESA STORE 2 UTAPATA KWA BEI RAHISI_*

🟢 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙋𝙀𝙎𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀
𝙑𝙄𝙂𝙀𝙕𝙊
• 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙎𝙄𝙈𝙐
• 𝙏𝙄𝙉 𝙉𝙐𝙈𝘽𝙀𝙍
• 𝙆𝙄𝙏𝘼𝙈𝘽𝙐𝙇𝙄𝙎𝙃𝙊 / 𝙋𝘼𝙎𝙎𝙋𝙊𝙍𝙏

⭐ 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝙈𝘼𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼 ⭐
𝙒𝘼𝙇𝙀 𝙒𝙀𝙉𝙔𝙀 𝙏𝙄𝙇𝙇 / 𝙇𝘼𝙄𝙉 𝙕𝘼 𝙐𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼
𝙒𝘼𝙏𝘼𝙋𝘼𝙏𝘼 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝘽𝙀𝙄 𝙉𝘼𝙁𝙐𝙐

⏱️ 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝙄𝙉𝘼𝙆𝘼𝙈𝙄𝙇𝙄𝙆𝘼 𝙉𝘿𝘼𝙉𝙄 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙎𝘼𝘼 𝟮𝟰

📞 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 ♠️
> Call /whatsapp
> 0753947373📞
mange_solver

mange_solver

7 hours ago

𝙃𝙐𝘿𝙐𝙈𝘼 𝙔𝘼 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙉𝘼 𝙐𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀 ☑️ 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗟𝗔 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙋𝙀𝙎𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀 > 𝙑𝙄𝙂𝙀𝙕𝙊 ➤ 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙏𝙀𝙇 ➤ 𝙏𝙄𝙉 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼 ➤ 𝙁𝙇𝙊𝙏 𝙔𝘼 𝙇𝘼𝙆𝙄 𝙈𝙊𝙅𝘼 ➤ 𝙆𝙄𝙏𝘼𝙈𝘽𝙐𝙇𝙄𝙎𝙃𝙊 / 𝙋𝘼𝙎𝙎𝙋𝙊𝙍𝙏 *_TILL ZA HALOPESA STORE 2 UTAPATA KWA BEI RAHISI_* 🟢 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙋𝙀𝙎𝘼 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙑𝙄𝙂𝙀𝙕𝙊 • 𝙉𝘼𝙈𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙎𝙄𝙈𝙐 • 𝙏𝙄𝙉 𝙉𝙐𝙈𝘽𝙀𝙍 • 𝙆𝙄𝙏𝘼𝙈𝘽𝙐𝙇𝙄𝙎𝙃𝙊 / 𝙋𝘼𝙎𝙎𝙋𝙊𝙍𝙏 ⭐ 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝙈𝘼𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼 ⭐ 𝙒𝘼𝙇𝙀 𝙒𝙀𝙉𝙔𝙀 𝙏𝙄𝙇𝙇 / 𝙇𝘼𝙄𝙉 𝙕𝘼 𝙐𝙒𝘼𝙆𝘼𝙇𝘼 𝙒𝘼𝙏𝘼𝙋𝘼𝙏𝘼 𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝘽𝙀𝙄 𝙉𝘼𝙁𝙐𝙐 ⏱️ 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝙄𝙉𝘼𝙆𝘼𝙈𝙄𝙇𝙄𝙆𝘼 𝙉𝘿𝘼𝙉𝙄 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙎𝘼𝘼 𝟮𝟰 📞 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 ♠️ > Call /whatsapp > 0753947373📞

Hakuna picha
eliudykaduma

eliudykaduma

2 days ago

Hebu mtu mmoja akishauri jambo hapa mm nipo najiandaa kuwa wakala nipo nakusanya laini then nifungue huduma nilimpata mtu mmôja kwaajili ya kunitengenezea laini 3 vod halo na yas sasa nikamlipa na hela tuliyokubaliana akanipa vod na halo nilipo enda kufata lain ya yas akaniambia unatakiwa uje na laki 7 nikuwekee float kabisa sasa mimi sina hiyo hela na ni tangu mwezi wa tatu laini bado yupo nayo sasa mimi nikawa za nikisema ni fanye swapp itakubali?? Maana mwanzo hakunambia kama licha ya malipo ya kunitengenezea kuna sharti la mpaka niwe na float

Tujifunze kucheza kucheza na fursa ndugu zangu yani Kuna watu bado wapo wanafanya kazi kizamani sana alafu ndo unakuta kwenye comment eti faida hmna kabisa saivi wewe tulia.

Ivi we Kwa wakati huu kila mteja anataka kutoa Kwa lipa we bado upo kwenye ma till peke yake unazani Kwa akili yako utaiona faida wakati wateja wanakukumbia wanataka lipa.

Kingine wakala huna kabisa eti lipa pochi ya biashara afu unataka faida Kwa lipa ya pochi ya biashara ukipata tu miamala ya 50000 ata mitano unahela nzuri sana apo sijasema mtu akitoa laki sindo bonge la faida sababu laki anakatwa mteja buku tu we uko unazubaa tu huko ei hamna faida pita na upepo huu kabla mambo hayajageuka.

Pochi ya biashara uwe na nida, namba ya sim ya voda ambayo imewezeshwa mpesa malipo ni 20000 kwangu ila pengine ni 30000 nenda popote afu utakuja kuniambia nkweli ila malipo ni kbla ndo utaratbu pote so kwangu tu ukihitaji piga chap au wasap nikupitishie lain hiyo.

0779573819 piga au wasap

Vingine so paka uwambiwe jiongezee.

#MixByYas #MPESA #MPESASafaricom #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

1 day ago

Tujifunze kucheza kucheza na fursa ndugu zangu yani Kuna watu bado wapo wanafanya kazi kizamani sana alafu ndo unakuta kwenye comment eti faida hmna kabisa saivi wewe tulia. Ivi we Kwa wakati huu kila mteja anataka kutoa Kwa lipa we bado upo kwenye ma till peke yake unazani Kwa akili yako utaiona faida wakati wateja wanakukumbia wanataka lipa. Kingine wakala huna kabisa eti lipa pochi ya biashara afu unataka faida Kwa lipa ya pochi ya biashara ukipata tu miamala ya 50000 ata mitano unahela nzuri sana apo sijasema mtu akitoa laki sindo bonge la faida sababu laki anakatwa mteja buku tu we uko unazubaa tu huko ei hamna faida pita na upepo huu kabla mambo hayajageuka. Pochi ya biashara uwe na nida, namba ya sim ya voda ambayo imewezeshwa mpesa malipo ni 20000 kwangu ila pengine ni 30000 nenda popote afu utakuja kuniambia nkweli ila malipo ni kbla ndo utaratbu pote so kwangu tu ukihitaji piga chap au wasap nikupitishie lain hiyo. 0779573819 piga au wasap Vingine so paka uwambiwe jiongezee. #MixByYas #MPESA #MPESASafaricom #Vodacom

Nahitaji kuellimishwa na kupewa sababu ya hizi Kodi.

Mimi napo taka kuanza uwakala lazima nifate vigezo kama tin number ambayo hii kazi yake ni Mimi kuwa na lipa Kodi ndo maana ya tin number au lessen ya biashara ndo ipo hivyo.

Haya sawa kwenye miamala tena nakatwa na mitandao hiyo ni sawa ili na wenyewe wapate faida ila serikali wanakata tena kwenye miamala kuacha zile tunalipia mwisho wa mwezi Kwa lessen za biashara.

Haya acha hiyo Kuna Kodi tena za sehem ofisi zetu zilipo kama ni sokoni au stand tunalipa tena Kwa serikali sasa hii mbona sielewi hizi Kodi tunakatwa sana pasipo sababu.

Kodi ya leseni sawa Kodi ya mtandao sawa ila so kuktwa tena sasa kwenye miamala au kutoa tena hela ya Kodi sijui sokoni sijui barabarani yani tunatoa Kodi mara nne so sawa bana hii mnatuumiza TRA Tanzania 

#MPESASafaricom #Airtel #AirtelKenya #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

2 days ago

Nahitaji kuellimishwa na kupewa sababu ya hizi Kodi. Mimi napo taka kuanza uwakala lazima nifate vigezo kama tin number ambayo hii kazi yake ni Mimi kuwa na lipa Kodi ndo maana ya tin number au lessen ya biashara ndo ipo hivyo. Haya sawa kwenye miamala tena nakatwa na mitandao hiyo ni sawa ili na wenyewe wapate faida ila serikali wanakata tena kwenye miamala kuacha zile tunalipia mwisho wa mwezi Kwa lessen za biashara. Haya acha hiyo Kuna Kodi tena za sehem ofisi zetu zilipo kama ni sokoni au stand tunalipa tena Kwa serikali sasa hii mbona sielewi hizi Kodi tunakatwa sana pasipo sababu. Kodi ya leseni sawa Kodi ya mtandao sawa ila so kuktwa tena sasa kwenye miamala au kutoa tena hela ya Kodi sijui sokoni sijui barabarani yani tunatoa Kodi mara nne so sawa bana hii mnatuumiza TRA Tanzania #MPESASafaricom #Airtel #AirtelKenya #Vodacom

📢 M-FEMA IMEWASILI KWA MAWAKALA WOTE!

Je, unahitaji float lakini hujui ni wakala gani ana float eneo lako? M-FEMA ndiyo suluhisho lako!

M-FEMA ni mfumo unaowaunganisha mawakala na kuwawezesha kupata taarifa za upatikanaji wa float kwa haraka na kwa urahisi, hivyo kupunguza muda wa kutafuta float na kuongeza ufanisi wa biashara.

Kupitia M-FEMA unaweza:
✅ Kuona taarifa za mawakala wenye float inayopatikana.
✅ Kupata float kwa haraka kupitia mtandao wa mawakala.
✅ Kupunguza muda na gharama za kutafuta float.
✅ Kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wateja.

📱 Pakua M-FEMA sasa:
• Google Play Store kwa watumiaji wa Android.
• Apple App Store kwa watumiaji wa iPhone.

ℹ️ Muhimu: M-FEMA hutoa taarifa za upatikanaji wa float na kuwaunganisha mawakala. Uhamishaji wa float unaendelea kufanyika kupitia njia rasmi za kawaida za kampuni husika za huduma za kifedha.

☎️ Kwa maelezo zaidi au msaada:
0739 888 400

M-FEMA – Pata Taarifa za Float kwa Haraka, Rahisi na Salama.
mfema

mfema

1 day ago

📢 M-FEMA IMEWASILI KWA MAWAKALA WOTE! Je, unahitaji float lakini hujui ni wakala gani ana float eneo lako? M-FEMA ndiyo suluhisho lako! M-FEMA ni mfumo unaowaunganisha mawakala na kuwawezesha kupata taarifa za upatikanaji wa float kwa haraka na kwa urahisi, hivyo kupunguza muda wa kutafuta float na kuongeza ufanisi wa biashara. Kupitia M-FEMA unaweza: ✅ Kuona taarifa za mawakala wenye float inayopatikana. ✅ Kupata float kwa haraka kupitia mtandao wa mawakala. ✅ Kupunguza muda na gharama za kutafuta float. ✅ Kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wateja. 📱 Pakua M-FEMA sasa: • Google Play Store kwa watumiaji wa Android. • Apple App Store kwa watumiaji wa iPhone. ℹ️ Muhimu: M-FEMA hutoa taarifa za upatikanaji wa float na kuwaunganisha mawakala. Uhamishaji wa float unaendelea kufanyika kupitia njia rasmi za kawaida za kampuni husika za huduma za kifedha. ☎️ Kwa maelezo zaidi au msaada: 0739 888 400 M-FEMA – Pata Taarifa za Float kwa Haraka, Rahisi na Salama.

🔥 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙏𝙀𝙇 𝘽𝙐𝙉𝘿𝙇𝙀𝙎 🔥

 𝙉𝙅𝙊𝙊 𝙐𝙋𝘼𝙏𝙀 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊
 𝙇𝘼 𝘽𝙀𝙄 𝙍𝘼𝙃𝙄𝙎𝙄
  𝙂𝘽𝙎 𝙆𝙄𝘽𝘼𝙊 𝙎𝘼𝙉𝘼!

✅ 𝙎𝙄𝙎𝙄 𝙉𝘿𝙄𝙊 𝙎𝙐𝙇𝙐𝙃𝙄𝙎𝙃𝙊 𝙇𝘼 𝙄𝙉𝙏𝙀𝙍𝙉𝙀𝙏 𝙔𝘼𝙆𝙊

🔥 𝙂𝘽𝙎 𝙆𝙄𝘽𝘼𝙊🔥
💰 𝙋𝙀𝙎𝘼 𝙆𝙄𝘿𝙊𝙂𝙊

 𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙏𝙐 𝙒𝘼𝙃𝙄!
𝙋𝙀𝙍𝙐𝙕𝙄 𝙆𝙄 𝙎𝙏𝘼𝙍
     𝘽𝙄𝙇𝘼 𝙒𝘼𝙎𝙄 𝙒𝘼𝙎𝙄 𝙒𝘼 𝙆𝙐𝙄𝙎𝙃𝙄𝙒𝘼 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊

 𝙇𝙄𝙋𝙄𝘼 𝙇𝙀𝙊
⚡ 𝙐𝙋𝘼𝙏𝙀 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼𝙆𝙊 𝘾𝙃𝘼𝙋 𝙆𝙒𝘼 𝙃𝘼𝙍𝘼𝙆𝘼

  𝙈𝘼𝙉𝙂𝙀 𝘽𝙐𝙉𝘿𝙇𝙀 𝙎𝙊𝙇𝙐𝙏𝙄𝙊𝙉𝙎
𝙉𝘿𝙄𝙔𝙊 𝙃𝘼𝘽𝘼𝙍𝙄 𝙔𝘼 𝙈𝙅𝙄𝙉𝙄

📞 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 ♠️
➤ 𝘾𝙖𝙡𝙡 / 𝙒𝙝𝙖𝙩𝙨𝘼𝙥𝙥
➤ 𝟬𝟳𝟱𝟯𝟵𝟰𝟳𝟯𝟳𝟯 📞
mange_solver

mange_solver

1 day ago

🔥 𝙃𝘼𝙇𝙊𝙏𝙀𝙇 𝘽𝙐𝙉𝘿𝙇𝙀𝙎 🔥 𝙉𝙅𝙊𝙊 𝙐𝙋𝘼𝙏𝙀 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼 𝘽𝙀𝙄 𝙍𝘼𝙃𝙄𝙎𝙄 𝙂𝘽𝙎 𝙆𝙄𝘽𝘼𝙊 𝙎𝘼𝙉𝘼! ✅ 𝙎𝙄𝙎𝙄 𝙉𝘿𝙄𝙊 𝙎𝙐𝙇𝙐𝙃𝙄𝙎𝙃𝙊 𝙇𝘼 𝙄𝙉𝙏𝙀𝙍𝙉𝙀𝙏 𝙔𝘼𝙆𝙊 🔥 𝙂𝘽𝙎 𝙆𝙄𝘽𝘼𝙊🔥 💰 𝙋𝙀𝙎𝘼 𝙆𝙄𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙏𝙐 𝙒𝘼𝙃𝙄! 𝙋𝙀𝙍𝙐𝙕𝙄 𝙆𝙄 𝙎𝙏𝘼𝙍 𝘽𝙄𝙇𝘼 𝙒𝘼𝙎𝙄 𝙒𝘼𝙎𝙄 𝙒𝘼 𝙆𝙐𝙄𝙎𝙃𝙄𝙒𝘼 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊 𝙇𝙄𝙋𝙄𝘼 𝙇𝙀𝙊 ⚡ 𝙐𝙋𝘼𝙏𝙀 𝘽𝘼𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼𝙆𝙊 𝘾𝙃𝘼𝙋 𝙆𝙒𝘼 𝙃𝘼𝙍𝘼𝙆𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙂𝙀 𝘽𝙐𝙉𝘿𝙇𝙀 𝙎𝙊𝙇𝙐𝙏𝙄𝙊𝙉𝙎 𝙉𝘿𝙄𝙔𝙊 𝙃𝘼𝘽𝘼𝙍𝙄 𝙔𝘼 𝙈𝙅𝙄𝙉𝙄 📞 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 ♠️ ➤ 𝘾𝙖𝙡𝙡 / 𝙒𝙝𝙖𝙩𝙨𝘼𝙥𝙥 ➤ 𝟬𝟳𝟱𝟯𝟵𝟰𝟳𝟯𝟳𝟯 📞

Kila biashara huwa ina nguzo zake ambazo mtu atahitajika kuzifata ili aweze kufanikiwa kwenye biashara ndomaana unaweza Kuta mtu analia biashara ya Michele ni mbya ni hasara tu, apo apo mwingne anasema biashara ya Michele ndo biashara inafaida nzuri kumbe tatizo nini je unafata nguzo za biashara hiyo?  Hizi ni nguzo za uwakala.

1. Umakini.

Yani kwenye uwakala kama wewe unataka kujifanya mzembe basi utaiona hii kazi ni ngum sababu usipokuwa makini utasababisha vitu vingi vyenye hasara mfano, mtu anakuja nipe sim yako nipige we huwazi unampa tu apigie, mtu anakuja hakutajii jina litakalo toka baada ya kutaka kutuma we husemi unatuma tu badae anasema umekosea tatzo Nini hauko makini au Kuna mtu akija unajua kbsa huyu tapeli ila kwakuwa hauko makini huwezi gundua hilo.

2. Mtaji.

Jitahidi sana uwe na mtaji mzuri ili ufurahie biashara hii nakwambia ukiwa na mtaji mzuri lazima ufurahie biashara hii niamin Mimi nacho kwambia we fatilia utagundua nachosema.

3. Eneo la biashara.
Hii ndo muhim sana zaidi yani hii unaweza kuwa na mtaji ata milion kumi ila ukiwa sehem mbya tu hutoboi Mimi ndo nakwambia nishfanya uchunguzi mkubwa Kwa hili swala kwaiyo naongea kitu Kwa ushahidi nazani watu wata comment mtaona.

Kwaiyo hizo ndo nguzo za biashara ya uwakala.

#Vodacom #MixByYas #MPESASafaricom #Airtel #MPESA
mpesabusiness

mpesabusiness

2 days ago

Kila biashara huwa ina nguzo zake ambazo mtu atahitajika kuzifata ili aweze kufanikiwa kwenye biashara ndomaana unaweza Kuta mtu analia biashara ya Michele ni mbya ni hasara tu, apo apo mwingne anasema biashara ya Michele ndo biashara inafaida nzuri kumbe tatizo nini je unafata nguzo za biashara hiyo? Hizi ni nguzo za uwakala. 1. Umakini. Yani kwenye uwakala kama wewe unataka kujifanya mzembe basi utaiona hii kazi ni ngum sababu usipokuwa makini utasababisha vitu vingi vyenye hasara mfano, mtu anakuja nipe sim yako nipige we huwazi unampa tu apigie, mtu anakuja hakutajii jina litakalo toka baada ya kutaka kutuma we husemi unatuma tu badae anasema umekosea tatzo Nini hauko makini au Kuna mtu akija unajua kbsa huyu tapeli ila kwakuwa hauko makini huwezi gundua hilo. 2. Mtaji. Jitahidi sana uwe na mtaji mzuri ili ufurahie biashara hii nakwambia ukiwa na mtaji mzuri lazima ufurahie biashara hii niamin Mimi nacho kwambia we fatilia utagundua nachosema. 3. Eneo la biashara. Hii ndo muhim sana zaidi yani hii unaweza kuwa na mtaji ata milion kumi ila ukiwa sehem mbya tu hutoboi Mimi ndo nakwambia nishfanya uchunguzi mkubwa Kwa hili swala kwaiyo naongea kitu Kwa ushahidi nazani watu wata comment mtaona. Kwaiyo hizo ndo nguzo za biashara ya uwakala. #Vodacom #MixByYas #MPESASafaricom #Airtel #MPESA

Wakala Forum

Je wewe ni wakala?

Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.