
jamesmalwa440gmail.c
16 March 2026
James marwa mwita.naomba nisajiliwe kwenye wakala halo pesa voda com tigo pesa
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

jamesmalwa440gmail.c
16 March 2026
James marwa mwita.naomba nisajiliwe kwenye wakala halo pesa voda com tigo pesa

mange_solver
14 March 2026
๐๐๐ฟ๐๐๐ผ ๐๐ผ ๐๐๐๐ผ ๐๐ผ ๐๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ ๐ฝ๐๐๐ โ๏ธ ๐ช๐๐๐๐๐ ๐๐ผ๐๐๐๐๐๐ผ ๐ฝ๐๐๐ > ๐๐๐๐๐๐ โค ๐๐ผ๐๐ฝ๐ผ ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐๐๐๐ โค ๐๐๐ ๐๐ผ๐๐ฝ๐ผ โค ๐๐๐๐ ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ ๐๐๐ ๐ผ โค ๐๐๐๐ผ๐๐ฝ๐๐๐๐๐๐ / ๐๐ผ๐๐๐๐๐๐ *_TILL ZA HALOPESA STORE 2 UTAPATA KWA BEI RAHISI_* ๐ข ๐๐๐๐ผ ๐๐๐ผ ๐๐ผ๐๐๐๐๐๐ผ ๐ฝ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ โข ๐๐ผ๐๐ฝ๐ผ ๐๐ผ ๐๐๐๐ โข ๐๐๐ ๐๐๐๐ฝ๐๐ โข ๐๐๐๐ผ๐๐ฝ๐๐๐๐๐๐ / ๐๐ผ๐๐๐๐๐๐ โญ ๐๐๐๐ผ ๐๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ โญ ๐๐ผ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ / ๐๐ผ๐๐ ๐๐ผ ๐๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐๐๐ผ ๐๐๐ผ ๐ฝ๐๐ ๐๐ผ๐๐๐ โฑ๏ธ ๐๐๐ญ๐ ๐๐๐ผ๐๐ผ๐๐๐๐๐๐ผ ๐๐ฟ๐ผ๐๐ ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ๐ผ ๐ฎ๐ฐ ๐ ๐ ๐๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ข โ ๏ธ > Call /whatsapp > 0753947373๐

charalimaseke
12 March 2026
Habari, Una ifahamu M-FEMA? ni mfumo unaotumiwa na mawakala wakuu na mawalaka wa kawaida kubafilishana float. Tembelea playstore inapatikana kwa jina la M-FEMA
furgens
5 March 2026
JAMANI MIMI NI MGENI LAKINI ,NAOGOPA KUTOA SWALI LANGU MAANA YA WENGINE HATA HAYAJIBIWI

Mange_Solver
3 March 2026
๐๐๐๐๐ ๐๐จ๐๐จ๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐๐ช๐ ๐ฆ๐๐ ๐จ ๐ฌ๐๐ฆ ๐ฝ๐๐๐ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ ๐๐๐ฅ๐๐๐จ ๐จ๐ฃ๐๐ง๐ ๐๐จ๐๐จ๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐๐ช๐ ๐ฌ๐๐ฆ ๐ฝ๐๐๐ ๐ ๐ฃ๐ข๐ฃ๐ข๐ง๐ ๐จ๐๐๐ฃ๐ข ๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐ ๐น๐ฟ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ ๐ฉ๐๐๐๐ญ๐ข โ๏ธ ๐ก๐๐ ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฆ๐๐ ๐จ ๐ง๐จ โ ๐๐๐๐ก๐ ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ง๐๐ก ๐ก๐จ๐ ๐๐๐ฅ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ฃ๐๐ ๐ง๐จ๐ก๐๐ง๐๐ก๐๐๐ญ๐ ๐๐๐๐๐ฆ ๐ญ๐ ๐๐จ๐ง๐๐ก๐๐๐ญ๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐๐ช๐ ๐ฌ๐๐ฆ ๐ฅ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ ๐ ๐๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ข โ ๏ธ โ๏ธ Call / WhatsApp ๐ฒ 0753947373
Mange_Solver
3 March 2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐จ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ข ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐น๐ฟ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐ฐ๐ฐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ฐ๐ฐ โโโโโโโโโโโโโโโโ โ ๐๐๐ ๐๐๐๐ โ ๐๐,๐๐๐/= โ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ โ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐,๐๐๐/= ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ โก ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ โ ๐๐๐,๐๐๐/= โ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ โ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐+ โข ๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐,๐๐๐/= ๐ฅ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐ โโโโโโโโโโโโโโโโ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ โ ๐๐๐๐ / ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ฒ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐

Mange_Solver
2 March 2026
Karibu kwa huduma za uhakika TUPO MBAGALA ZAKHIEM

0757953553
23 February 2026
MKETO CUSTOMER SERVICES WAKALA MKUU Kwa wale wanaohitaji kutengenezewa till zaa uwakala karibuni sana.... Vigezo:- ni tin, leseni kama unayo na kitambulisho... Gharama yake 250,000/= hii pamoja na lipa unapatiwa Line zinatoka ndani ya siku 1... Unapata vyote full.. Line za uwakala na lipa zake ๐ค๐ค๐ค Wasiliana nasi 0757953553 0785817008 E-mail. [email protected] Karibuni sana
mzigili
3 February 2026
wakubwa till tigo na voda inahitajika mwenye anategeneza akuje 2fanye kazi nipo dodoma
bakar
27 January 2026
Msaada kuifutia usajiri lipa no ya halotel.
mbawa
9 January 2026
Jamani nahitaji lakini ya wakala ya voda mwenye kuweza kunisaidia namba ya Whatsapp 0687198041

Mange_Solver
8 January 2026
*HELLO* _Tunatafuta Vijana_ _wapambanaji wa kupewa_ _Access ya kutengeneza_ _LIPA kwa Airtel_ *๐ฐMalipo* *_KWA WIKI_* Ukifikisha LIPA 15 zenye muamala wa Tsh 10,000 Unalipwa Tsh 37,500 *_Kwa Mwezi_* Ukifikisha LIPA 60 zenye muamala wa Tsh 30,000 Unapata Bonasi ya Tsh 100,000 *โจ Pia kuna Kamisheni ya* *Matumizi ya LIPA ndani* *Ya mwezi husika* ๐ ๐๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ข > Call /whatsapp > 0753947373๐
DharaphiTz
4 January 2026
Jamani hii kwangu tu au wote kama Mala mbili hiv nafunga esabu na kijana wangu juz tu shot laki 6 na dogo aelewi iyo shot imetokea vip anafikia paka kusema ikitokea tena tunafunga esabu ikatokea shot atashindwa kazi yan changamoto kwangu na yule dogo kumpa zambi % chache sana maana nimempa uhuru kwenye vinywaji anafanya avyojua yeye ila kwenye uwakala inatokea ivyo jaman nachoka kijana wenu kwakweli
micle
2 January 2026
Jaman habar. Kuna haya malipo ya ada za shule mfano hii inaanza na. EAP12567777RS MALIPO yake tunalipa vpee na bank gan
kulf
1 January 2026
NAOMBA KUULIZA JE NIKIWA NA LIPA NAMBA KWENYE KIBANDA CHANGU CHA UWAKALA,NA NIKAANDIKA ZILE CODE ZA LIPA NAMBA,NIKABANDIKA HAWA WATU WA MITANDAO WAKIPITA HAWAWEZI KUNILETEA SHIDA?
katawa2580
1 January 2026
Iv ukipotez till yako vitu gan unatakiwa ili kuwez kuiswap
zabronmwitnyaibero
1 January 2026
Wakuu.mimi naomben ushaur nimesahau.cod ya utambulisho.kwenye laini.yang ya lipa na M pesa nifanyeje??
wagaduguuu
15 December 2025
Nahitaji lipa ya voda ambayo haina makato inakuwa 0.0

jofrey
15 December 2025
Jamani naomba niulize kitu kimoja kuna uwezekano wa miamala inayofanyika kwa simu ya wakala taharifa zote ukazipata kwa simu kubwa ya mkononi ili ufatiliaji ue mwepesi
adibert
14 December 2025
Nilipoteza simu yenye till ya voda nikaenda jana nikaswap namba nikaambiwa ningoje saa 24 itakuwa imefunguliwa ila mpaka sasa bado shida nn maboss zangu
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.