onoosward
1 hour ago
Naomben kujua till ipi inafaa kulipia maji? Kama ipo naomba hatua za kufata
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
onoosward
1 hour ago
Naomben kujua till ipi inafaa kulipia maji? Kama ipo naomba hatua za kufata
wakalai
1 hour ago
Hivi ni mimi tu, mbona napewa madeni ya wakala wezesha ambayo sijakopa?
justin
7 hours ago
KWEMAH WAKUU ANAEHITAJI SELCOM POS MACHINE NINAYO NINAIUZA BEI MAELEWANO

peaslepaypont
1 day ago
Nataka niwe wakala wa bank, Nianze na nini ndugu zangu, mtaji m 2
papilito
4 days ago
Wanaohitaji kutengenezewa till zaa UWakala karibuni sana... Vigezo:- ni TIN, Namba ya NIDA au kitambulisho... Gharama yake 250,000/= hii pamoja na lipa unapatiwa Line zinatoka ndani ya siku 1.. Unapata vyote full. Line za uwakala na lipa Wasiliana nasi 0622111103 0792111103 E-mail. [email protected] Karibuni sana
justin
4 days ago
Naomba kuuliza hivi ni license Gani inahitajika kwa Uwakala....Au Na wenye Banda la kuhamishika pia inatakiwa license wakuu ???
salim
4 days ago
Hii kuandika sababu ya kurudish muamala halopesa imakaaje wakuu sijaielewa
papilito
5 days ago
PAPILITO SERVICES COMPANY LTD Kwa wale wanaohitaji kutengenezewa till zaa UWakala karibuni sana... Vigezo:- ni TIN, Namba ya NIDA au kitambulisho... Gharama yake 250,000/= hii pamoja na lipa unapatiwa Line zinatoka ndani ya siku 1.. Unapata vyote full. Line za uwakala na lipa zake Wasiliana nasi 0622111103 0792111103 E-mail. [email protected] Karibuni sana

papilito
5 days ago
Kwa wale wanaohitaji kutengenezewa till zaa UWakala karibuni sana... Vigezo:- ni TIN, Namba ya NIDA au kitambulisho... Gharama yake 250,000/= hii pamoja na lipa unapatiwa Line zinatoka ndani ya siku 1.. Unapata vyote full. Line za uwakala na lipa zake Wasiliana nasi 0622111103 0792111103 E-mail. [email protected] Karibuni sana
muhidinially058gmail
6 days ago
Ndugu habari mimi na changamoto pochi yangu wameipandishia makato imekua kama lipa ya kawida mfano tozo ya 30,000 ilikua ni shingi 400 lakini sasa wanakata 1000 kwa elfu30,000 shida itakua ni ipi...?

marwaisack
20 July 2026
Hapa changamoto nini
sam
20 July 2026
Jifunze uelimike usiibiwe kizembe👇 https://www.facebook.com/share/v/1apAhg5UPt/
gilliwakesigmail.com
19 July 2026
Nataka kufahamu namna ya kuangalia kamishen voda
revocatuslunyalula
17 July 2026
Naomba kuulza katika mitandao yakijamii ukiondoa benk nauzaje mabado Maana mm sjui kuuza bando wala dakika mitandao
emmawakala
16 July 2026
Naomba kuuliza iv inawezwkana kubadilisha lipa namba yenye jina la mtu kuwa jina la biashara?
amon84397gmail.com
16 July 2026
jaman mwenye bango la makato ya lipa Airtel naomba anitumie , bango la makato
amon84397gmail.com
16 July 2026
anitumie wasapu 0617590061 makato ya lipa Airtel bango

mpesabusiness
17 July 2026
Wote ambao hamjui utaratibu wa Airtel na halotel till mje ili maswali yapungue au unae taka anza uwakala. Ukitaka kusajili la ya Airtel au halotel kwanza popote ulipo Tanzania unapat haina haja ya kuweka kidole hilo lipo hivo. Halotel vigezo. 1.Tin number 2. Lessen. 3. Uwe na laki kwenye lain hiyo ya Airtel Siku moja lain imepita. Airtel vigezo. 1.Tin number 2. Lessen. 3. Namba ya Airtel. Dakika 20 tu unapita Popote ulipo kikubwa we uwe na vigezo hivyo basi sio kwangu tu popote utapo enda ni hivyo nazani hmna maswali tena. Bei kwangu 20000 halotel Airtel 15000 Haya nendeni sasa uko mpigwe akili ziwaingie maana mnchaaga sehem ya uhakika mnaenda kuvamia matapeli. 0779573819

mpesabusiness
15 July 2026
We ukiwa na mtaji wa kutosha kweli nenda kwahayo maeneo mgodini na kwa wavuvi ebane huko moto ila usiende na milioni mbili yako utarudi huoni mbele wa nyuma maana hiyo milion mbili ni muamala mmoja tu. #MPESA #Vodacom #Uwakala

mpesabusiness
14 July 2026
Baadhi ya wafanya kazi wamekuwa na lain zao hasa till hizo mteja akija kutoa hela kubwa kutumia till anampa code ya lain yake mwenyewe kwaiyo wewe huwezi jua sababu saivi si wateja wengi wanataka lipa kwaiyo we utazani tu wengi wanatoa lipa kumbe huku kuna kitu kinaendelea duh nika mbanano aiseee. #MPESA
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.