mwakabulutu
9 August 2026
Habari za wakati huu samahani naomba kuuliza menyu ya kuuza vifirushi vya voda msaada
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
mwakabulutu
9 August 2026
Habari za wakati huu samahani naomba kuuliza menyu ya kuuza vifirushi vya voda msaada

mfema
9 August 2026
š M-FEMA ā Simamia Biashara Yako kwa Urahisi Zaidi! Je, unatumia muda mwingi kufuatilia float, miamala na wafanyakazi wako? M-FEMA imekuja kurahisisha kazi yako! š± Kwa kutumia M-FEMA, Wakala Mkuu na Wakala Mdogo wanaweza: ā Kupata Ripoti ya Siku ā Funga mahesabu ya siku na pata ripoti ya miamala, mapato na matumizi yako kwa urahisi. ā Kufuatilia Float ā Tuma na pokea float kwa haraka na kwa usalama. ā Kufuatilia Wafanyakazi LIVE ā Wakala Mkuu anaweza kuwaona wafanyakazi wake mubashara wanapokuwa mtaani wakihudumia Mawakala Wadogo. š ā Kujua Mahali na Shughuli za Wafanyakazi ā Fuatilia safari na huduma zinazotolewa kwa Mawakala Wadogo. ā Kuhifadhi Historia ya Miamala ā Kila muamala unarekodiwa kwa urahisi kwa ajili ya ufuatiliaji na ripoti. ā Kuongeza Udhibiti wa Biashara ā Pata taarifa muhimu za biashara yako kwa wakati na kufanya maamuzi kwa usahihi. š¼ M-FEMA ā Zaidi ya Kuhamisha Float Ni mfumo wa kisasa wa kusimamia biashara ya float, wafanyakazi na taarifa za kila siku. š² Pakua M-FEMA leo na uanze kusimamia biashara yako kwa ufanisi zaidi! š +255 739 888 400 #MFEMA #MsimamiziWaFloat #WakalaMkuu #WakalaMdogo #MobileMoney #FloatManagement #RipotiYaSiku #LiveTracking #DigitalBusiness #Tanzania
justin
8 August 2026
Naomba Msaada jinsi ya kuhamisha PESA iliyolipwa na Mtandao wa Airtel haijaunganishwa
lungwecha
7 August 2026
Nahitaji mashine ya NMB and CRDB Location niko mwanza, contact 0623253592, au kama kuna ushauli namna ya kuzipata pia nitashukuru.
massoud
5 August 2026
Kuna hii hapa tuweni makini mambo ni mengi.
gideon
6 August 2026
Tataka bango la uwakala la ukubwa wa nchi 150 kwa 150 Wale mnao print mabango hilo ni shingapi kuprint
justin
4 August 2026
Naomba Msaada jinsi ya kuhamisha PESA iliyolipwa na Mtandao Airtel ili niiunganishe kwenye mtaji ...ššš
gideon
4 August 2026
Mimi nina mwezi mmoja tayar lakini kila nikifanya miamala wataja hapungui20 na hawazidi 25 ila kwa siku za wekeend ndio wanafika 50 vip hii ni eneo sahihi ndugu zangu?
gideon
4 August 2026
Nisaidie hivi cammision za mwisho wa mwez zinaingia kwenye salio la kawaida au inakuaje
mange_solver
4 August 2026
š„š„ FURSA YA KAZI š„š„ š¢ TUNAHITAJI VIJANA WA KUTENGENEZA LIPA KWA M-PESA šø MALIPO: ā Kila Lipa kwa M-PESA moja iliyokamilika hulipwa TSh 15,000/= š Njoo Inbox utume taarifa zako tukuunge na upate access haraka! š VIGEZO VINAVYOHITAJIKA ā Namba ya Simu ā Majina Matatu ā Namba ya NIDA ā Barua Pepe (Email) ā³ Tuma taarifa zako mapema ili tukuunge na kuanza kazi. š MAWASILIANO š² Call / WhatsApp: 0753 947 373
auginjou
4 August 2026
Mimi ni wakala, je? ni bidhaa gani naweza kuuza pamoja na uwakala Kwa pamoja eneo must dispensary,wateja ni wanafunzi
bumela
2 August 2026
Habali mawakala naomba kuuliza saizi till yangu ya voda nikiwanulia wateja vifurushi inakubali Kwa miamala miwili tu muamala watatu inakataa naambiwa mufumo umetingwa
bumela
1 August 2026
Musaada jamani namuna ya kuwasiliana na haloteli huduma Kwa wateja Kwa kutumia namba ya wakala
justin
30 July 2026
Habari Mawakala Wote wenye Changamoto na suala la kupata license nicheki WhatsApp no 0785841783 utapata license ya biashara kwa muda wa Dk 10 tu
justin
30 July 2026
Mawakala Wote wenye uhitaji wa license ya biashara ( Business license) mnicheki WhatsApp no 0685841783 TSH 100 tu nakupatia license Yako kwa Dk 10 tu
onoosward
28 July 2026
Naomben kujua till ipi inafaa kulipia maji? Kama ipo naomba hatua za kufata
wakalai
28 July 2026
Hivi ni mimi tu, mbona napewa madeni ya wakala wezesha ambayo sijakopa?
justin
28 July 2026
KWEMAH WAKUU ANAEHITAJI SELCOM POS MACHINE NINAYO NINAIUZA BEI MAELEWANO

peaslepaypont
27 July 2026
Nataka niwe wakala wa bank, Nianze na nini ndugu zangu, mtaji m 2
papilito
24 July 2026
Wanaohitaji kutengenezewa till zaa UWakala karibuni sana... Vigezo:- ni TIN, Namba ya NIDA au kitambulisho... Gharama yake 250,000/= hii pamoja na lipa unapatiwa Line zinatoka ndani ya siku 1.. Unapata vyote full. Line za uwakala na lipa Wasiliana nasi 0622111103 0792111103 E-mail. [email protected] Karibuni sana
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.