Machapisho

Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

Wote ambao hamjui utaratibu wa Airtel na halotel till mje ili maswali yapungue au unae taka anza uwakala.

Ukitaka kusajili la ya Airtel au halotel kwanza popote ulipo Tanzania unapat haina haja ya kuweka kidole hilo lipo hivo.

Halotel vigezo.
1.Tin number
2. Lessen.
3. Uwe na laki kwenye lain hiyo ya Airtel 

Siku moja lain imepita.

Airtel vigezo.

1.Tin number
2. Lessen.
3. Namba ya Airtel.
 Dakika 20 tu unapita 

Popote ulipo kikubwa we uwe na vigezo hivyo basi sio kwangu tu popote utapo enda ni hivyo nazani hmna maswali tena.

Bei kwangu 20000 halotel 
Airtel 15000

Haya nendeni sasa uko mpigwe akili ziwaingie maana mnchaaga sehem ya uhakika mnaenda kuvamia matapeli.

0779573819
mpesabusiness

mpesabusiness

17 July 2026

Wote ambao hamjui utaratibu wa Airtel na halotel till mje ili maswali yapungue au unae taka anza uwakala. Ukitaka kusajili la ya Airtel au halotel kwanza popote ulipo Tanzania unapat haina haja ya kuweka kidole hilo lipo hivo. Halotel vigezo. 1.Tin number 2. Lessen. 3. Uwe na laki kwenye lain hiyo ya Airtel Siku moja lain imepita. Airtel vigezo. 1.Tin number 2. Lessen. 3. Namba ya Airtel. Dakika 20 tu unapita Popote ulipo kikubwa we uwe na vigezo hivyo basi sio kwangu tu popote utapo enda ni hivyo nazani hmna maswali tena. Bei kwangu 20000 halotel Airtel 15000 Haya nendeni sasa uko mpigwe akili ziwaingie maana mnchaaga sehem ya uhakika mnaenda kuvamia matapeli. 0779573819

Ukisema ukalili kila njia ya utapeli kwa wewe unae anza itakuwa ngumu kwako huo ndio ukweli ila kunajinsi ya kufanya yani tuseme kama kinga.

1. Usimuamini mteja yoyoye yule.
Hapa nazungumzia mteja yoyote ata jirani yako au ndugu yako sababu jirani au ndugu anaweza kutumika kukutapeli bila yeye kujua hilo weka akilini yani usimuamini afate Sheria wanazo fata wateja wengine apo utakuwa salama.

2. Mteja atoe hela kutumia sim yake au kuwekewa hela kwenye sim yake asitumie kifaaa chako cha kazi ata siku moja.

Yani hapo usimpe mteja ata sim yako ya akiba ashike sijui wamtumie hela acha kama hana basi kubali kukosa hiyo hela unaweza sema mbona mimi nawapaga sitapeliwi ila weka akilini hili neno watu hawatapeliwi wote kwa siku moja maana yake ipo siku yako.

3. Usisikilize mtu yoyote anae jifanya sijui afisa, sijui wakala mkuu ambae we humjui au sijui natokea campun gani usisikilize kabis watu hao iwe live au wamepiga sim kata sim au kama wamekuja kwako sema siwajui na staki usumbufu na staki huduma yenu nikitak taenda mwenyewe voda au Yas au tamfata wakala wangu mkuu basi kausha.

4. Usifungue link yoyote ile au usifate mashariki yoyote yale ambayo mtu amekupigia sim sijui fanya fanya hivi kata sim, kwanza sim unazo takiwa kupkea ni 100, 101 basi zingine zote acha usipokee.

Kwa leo ni hayo tu.

Elim ipo kubwa kwa wewe unae anza inabidi uipate ila ndoivi Mtanzania paka aibiwe Kwanza laki tano ndio atoe 20000 kujifunza.

0779573819 piga ila sana wasap
mpesabusiness

mpesabusiness

14 July 2026

Ukisema ukalili kila njia ya utapeli kwa wewe unae anza itakuwa ngumu kwako huo ndio ukweli ila kunajinsi ya kufanya yani tuseme kama kinga. 1. Usimuamini mteja yoyoye yule. Hapa nazungumzia mteja yoyote ata jirani yako au ndugu yako sababu jirani au ndugu anaweza kutumika kukutapeli bila yeye kujua hilo weka akilini yani usimuamini afate Sheria wanazo fata wateja wengine apo utakuwa salama. 2. Mteja atoe hela kutumia sim yake au kuwekewa hela kwenye sim yake asitumie kifaaa chako cha kazi ata siku moja. Yani hapo usimpe mteja ata sim yako ya akiba ashike sijui wamtumie hela acha kama hana basi kubali kukosa hiyo hela unaweza sema mbona mimi nawapaga sitapeliwi ila weka akilini hili neno watu hawatapeliwi wote kwa siku moja maana yake ipo siku yako. 3. Usisikilize mtu yoyote anae jifanya sijui afisa, sijui wakala mkuu ambae we humjui au sijui natokea campun gani usisikilize kabis watu hao iwe live au wamepiga sim kata sim au kama wamekuja kwako sema siwajui na staki usumbufu na staki huduma yenu nikitak taenda mwenyewe voda au Yas au tamfata wakala wangu mkuu basi kausha. 4. Usifungue link yoyote ile au usifate mashariki yoyote yale ambayo mtu amekupigia sim sijui fanya fanya hivi kata sim, kwanza sim unazo takiwa kupkea ni 100, 101 basi zingine zote acha usipokee. Kwa leo ni hayo tu. Elim ipo kubwa kwa wewe unae anza inabidi uipate ila ndoivi Mtanzania paka aibiwe Kwanza laki tano ndio atoe 20000 kujifunza. 0779573819 piga ila sana wasap

Jana niligusia hilo ili kuona watu wanaelewa vipi kuhusu lessen hizi sasa somo hili.

Tin number ni nini?
hizi ni namba ambazo unapewa na TRA ambazo zinahusika na ulipaji wa kodi na kuzitumia katika kutengeneza lessen mfano lessen ya biashara ili mtu aonekane ana lipa kodi kazima awe na tin number.

Lessen ya biashara ni nini?
Hizi ni lessen zinazo mtambulisha mfanya biashara ambazo hizo lessen ndani yake ndo kuna tin number ambazo zinakutambua wewe ukilipa kodi, na hizi lessen za biashara unazipata kwenye halimashauri yako wewe nenda utapewa utaratibu.

Je wakala wa mpesa, Yas, Airtel anahitaji lessen gani? wakala anahitaji lessen ya biashara tu na sio lessen zingine.

Hizo lessen za hela ambazo zinatoka BOT ni kwa ajili ya watu wanaokopesha hela basi sio mawakala kwaiyo kuanzia leo wakala usitishike ata mtu anafanya kazi BOT akija kwenye ofisi yako akakuta lessen ya huduma za hela atakushangaa sana kwa sababu hizo nikwaajili ya watu wanao kopesha tu basi.

Ndomaana unapo sajili lain za uwakala unaombwa lessen ya biashara na sio hiyo ya hela ya BOT.

Sasa hapo nazani tumeelewna mchana mwema 

TRA Tanzania #MPESA #Uwakala #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

13 July 2026

Jana niligusia hilo ili kuona watu wanaelewa vipi kuhusu lessen hizi sasa somo hili. Tin number ni nini? hizi ni namba ambazo unapewa na TRA ambazo zinahusika na ulipaji wa kodi na kuzitumia katika kutengeneza lessen mfano lessen ya biashara ili mtu aonekane ana lipa kodi kazima awe na tin number. Lessen ya biashara ni nini? Hizi ni lessen zinazo mtambulisha mfanya biashara ambazo hizo lessen ndani yake ndo kuna tin number ambazo zinakutambua wewe ukilipa kodi, na hizi lessen za biashara unazipata kwenye halimashauri yako wewe nenda utapewa utaratibu. Je wakala wa mpesa, Yas, Airtel anahitaji lessen gani? wakala anahitaji lessen ya biashara tu na sio lessen zingine. Hizo lessen za hela ambazo zinatoka BOT ni kwa ajili ya watu wanaokopesha hela basi sio mawakala kwaiyo kuanzia leo wakala usitishike ata mtu anafanya kazi BOT akija kwenye ofisi yako akakuta lessen ya huduma za hela atakushangaa sana kwa sababu hizo nikwaajili ya watu wanao kopesha tu basi. Ndomaana unapo sajili lain za uwakala unaombwa lessen ya biashara na sio hiyo ya hela ya BOT. Sasa hapo nazani tumeelewna mchana mwema TRA Tanzania #MPESA #Uwakala #Vodacom

Yani ukishaifaham tu kazi hizi vizuri huto taka kazi ingine nikwambie leo ukweli huo.

Uwakala shida ni mtaji tu basi ila ukishapata mtaji umemaliza sababu kinacho fata nikuchagua eneo zuri tu basi nakutulia hela zinakuja zenyewe.

Kuhusu utapeli kwangu hakuna mbinu ambayo siijui inayo tumika kwenye utapeli kwa uzoefu wangu wakujifunza na kuifanya hii biashara hakuna tapeli anaweza ni tapeli mimi labda aniteke tu basi.

Kuna angle nne tu ukizijua hizo hakuna tapeli yoyote anae weza kukutapeli labda wakuteke basi.

Kwaiyo kama una mtaji na huna chakufanya kabisa njoo kwenye uwakala jifunze anza.
mpesabusiness

mpesabusiness

13 July 2026

Yani ukishaifaham tu kazi hizi vizuri huto taka kazi ingine nikwambie leo ukweli huo. Uwakala shida ni mtaji tu basi ila ukishapata mtaji umemaliza sababu kinacho fata nikuchagua eneo zuri tu basi nakutulia hela zinakuja zenyewe. Kuhusu utapeli kwangu hakuna mbinu ambayo siijui inayo tumika kwenye utapeli kwa uzoefu wangu wakujifunza na kuifanya hii biashara hakuna tapeli anaweza ni tapeli mimi labda aniteke tu basi. Kuna angle nne tu ukizijua hizo hakuna tapeli yoyote anae weza kukutapeli labda wakuteke basi. Kwaiyo kama una mtaji na huna chakufanya kabisa njoo kwenye uwakala jifunze anza.

Wakala Forum

Je wewe ni wakala?

Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.