Machapisho

Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

Hapa nahitaji wataalamu waje kutuelewesha tuelewe vizuri hasa TRA Tanzania.

Kwanini ukiwa na duka la kawaida na uwakala hapo hapo manispaa wanataka lessen mbili ya uwakala wa hela na leseni ya biashara wakati tunapo sajili za uwakala tunaombwa lessen za biashara tu na hawakwambii kuhusu lessen za uwakala wa hela hii inakaaje.

Maana kuna watu watatu nimeshuhudia wanaambiwa hivi kuwa wanahitajika kuwa na lessen mbili

Kwanini mtu anapotaka kuwa wakala mnamwambia lessen ya biashara?

#Airtel #MPESA #MixByYas #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

12 July 2026

Hapa nahitaji wataalamu waje kutuelewesha tuelewe vizuri hasa TRA Tanzania. Kwanini ukiwa na duka la kawaida na uwakala hapo hapo manispaa wanataka lessen mbili ya uwakala wa hela na leseni ya biashara wakati tunapo sajili za uwakala tunaombwa lessen za biashara tu na hawakwambii kuhusu lessen za uwakala wa hela hii inakaaje. Maana kuna watu watatu nimeshuhudia wanaambiwa hivi kuwa wanahitajika kuwa na lessen mbili Kwanini mtu anapotaka kuwa wakala mnamwambia lessen ya biashara? #Airtel #MPESA #MixByYas #Vodacom

Kuna njia mbili za kupata lain za uwakala.

1. Kwenda moja kwa moja kwenye maduka yao mfano vodashop ila ili uwende kule na upate lain kuna vitu hivi lazima uwe navyo.

. lessen ya biashara.
.Tin number.
.NIDA.

Hivyo ndio muhimu sana ukienda moja kwa moja kwenye maduka yao ila huku lain zinakawia kutoka huo ndio ukweli.

2. Kwa wakala muaminifu.

Huku sio paka uwe na leseni ya biashara ila zipo lessen za kusajilia lain bei nafuu tu na tin number kama huna anakutngenezea  vizuri tu na unapata lain kwa muda sio mrefu.

Kwaiyo wewe ndon utachagua wapi unahitaji kupata lain hizo apo nazani tumeelewna sasa 

Mimi natengeza lain za voda till ila kama uko mbali uwe karibu na ane sajili lain pia halotel na Airtel hizi so lazima uwe karibu na wakala wa lain hizi ni fast tu.

KWAIYO huo ndo utaratbu ndugu zangu kwenye darasa langu yote hayo nafundisha kuna vitu vingi sana nivile zarau tu.

Mawasiliano yangu 0779573819 WASAP au piga
mpesabusiness

mpesabusiness

10 July 2026

Kuna njia mbili za kupata lain za uwakala. 1. Kwenda moja kwa moja kwenye maduka yao mfano vodashop ila ili uwende kule na upate lain kuna vitu hivi lazima uwe navyo. . lessen ya biashara. .Tin number. .NIDA. Hivyo ndio muhimu sana ukienda moja kwa moja kwenye maduka yao ila huku lain zinakawia kutoka huo ndio ukweli. 2. Kwa wakala muaminifu. Huku sio paka uwe na leseni ya biashara ila zipo lessen za kusajilia lain bei nafuu tu na tin number kama huna anakutngenezea vizuri tu na unapata lain kwa muda sio mrefu. Kwaiyo wewe ndon utachagua wapi unahitaji kupata lain hizo apo nazani tumeelewna sasa Mimi natengeza lain za voda till ila kama uko mbali uwe karibu na ane sajili lain pia halotel na Airtel hizi so lazima uwe karibu na wakala wa lain hizi ni fast tu. KWAIYO huo ndo utaratbu ndugu zangu kwenye darasa langu yote hayo nafundisha kuna vitu vingi sana nivile zarau tu. Mawasiliano yangu 0779573819 WASAP au piga

FAIDA HALISI YA UWAKALA KWA SIKU
Faida halisi ya biashara ya uwakala kwa siku inategemea mambo makuu manne:
šŸ“ Eneo (Location) ulipo
šŸ’° Kiasi cha float ulichonacho
šŸ¤ Ubora wa huduma kwa wateja
šŸ”„ Kasi ya mzunguko wa miamala
Watu wengi hudanganywa na picha zinazoonyesha kwamba "wakala anatengeneza mamilioni kila siku." Ukweli ni tofauti.
āœ… Wakala wa kawaida aliye kwenye eneo la kawaida anaweza kupata faida halisi ya TSh 10,000 hadi 30,000 kwa siku.
āœ… Wakala aliye kwenye eneo lenye wateja wengi anaweza kupata TSh 50,000 hadi 150,000 au zaidi kwa siku.
āœ… Wakala mwenye float ndogo na huduma duni anaweza kufanya kazi siku nzima lakini akapata chini ya TSh 5,000.
Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi huangalia commission pekee, jambo ambalo si sahihi.
Faida ya uwakala haitokani na commission pekee, bali na mfumo mzima wa huduma zinazotolewa ofisini, kama vile:
Commission ya kuweka na kutoa pesa
Malipo ya LUKU
Uuzaji wa vocha
Malipo ya bili mbalimbali
Huduma za benki
Usajili wa SIM
Uuzaji wa Voucher/Wi-Fi
Uuzaji wa vinywaji au bidhaa nyingine kwa wateja
Hapo ndipo fedha halisi zinapatikana.
Mfano wa Hesabu
Ukifanya:
Miamala 120 kwa siku
Faida ya wastani kwa kila muamala TSh 250
Hesabu ni:
120 Ɨ 250 = TSh 30,000
Gharama za kuondoa
Chakula
Mishahara ya wasaidizi
Usafiri
Gharama za kuongeza float
Matumizi mengine ya ofisi
Baada ya kutoa gharama hizo, unaweza kubaki na faida halisi ya TSh 15,000 hadi 25,000 kwa siku.
Njia za kuongeza mapato
Wakala mwenye akili huongeza huduma kama:
āœ… Wi-Fi Hotspot
āœ… Huduma za michezo ya kubashiri
āœ… Uuzaji wa vinywaji
āœ… Huduma za Printing
Kwa kufanya hivyo, ofisi inaweza kuingiza zaidi ya TSh 80,000 kwa siku bila kutegemea commission pekee.
Makosa yanayofanywa na mawakala wengi
Kufungua biashara eneo lisilo na wateja wa kutosha
Kutegemea mtandao mmoja tu
Kuwa na float ndogo
Kufunga mapema
Kutoa huduma mbaya kwa wateja
Kushindwa kusimamia vizuri mzunguko wa fedha (cash flow)
Kusubiri wateja waje badala ya kufanya matangazo na kujitangaza
Hitimisho
Biashara ya uwakala si biashara ya utajiri wa haraka (quick money). Ni biashara inayotegemea idadi kubwa ya miamala (volume).
Ukijenga wateja wa kudumu wanaorudi kila siku, biashara yako itakua. Lakini ukikosa wateja wa kutosha, hata ukiwa na float kubwa, faida yako haitakuwa kubwa.
thebosscashpoint

thebosscashpoint

9 July 2026

FAIDA HALISI YA UWAKALA KWA SIKU Faida halisi ya biashara ya uwakala kwa siku inategemea mambo makuu manne: šŸ“ Eneo (Location) ulipo šŸ’° Kiasi cha float ulichonacho šŸ¤ Ubora wa huduma kwa wateja šŸ”„ Kasi ya mzunguko wa miamala Watu wengi hudanganywa na picha zinazoonyesha kwamba "wakala anatengeneza mamilioni kila siku." Ukweli ni tofauti. āœ… Wakala wa kawaida aliye kwenye eneo la kawaida anaweza kupata faida halisi ya TSh 10,000 hadi 30,000 kwa siku. āœ… Wakala aliye kwenye eneo lenye wateja wengi anaweza kupata TSh 50,000 hadi 150,000 au zaidi kwa siku. āœ… Wakala mwenye float ndogo na huduma duni anaweza kufanya kazi siku nzima lakini akapata chini ya TSh 5,000. Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi huangalia commission pekee, jambo ambalo si sahihi. Faida ya uwakala haitokani na commission pekee, bali na mfumo mzima wa huduma zinazotolewa ofisini, kama vile: Commission ya kuweka na kutoa pesa Malipo ya LUKU Uuzaji wa vocha Malipo ya bili mbalimbali Huduma za benki Usajili wa SIM Uuzaji wa Voucher/Wi-Fi Uuzaji wa vinywaji au bidhaa nyingine kwa wateja Hapo ndipo fedha halisi zinapatikana. Mfano wa Hesabu Ukifanya: Miamala 120 kwa siku Faida ya wastani kwa kila muamala TSh 250 Hesabu ni: 120 Ɨ 250 = TSh 30,000 Gharama za kuondoa Chakula Mishahara ya wasaidizi Usafiri Gharama za kuongeza float Matumizi mengine ya ofisi Baada ya kutoa gharama hizo, unaweza kubaki na faida halisi ya TSh 15,000 hadi 25,000 kwa siku. Njia za kuongeza mapato Wakala mwenye akili huongeza huduma kama: āœ… Wi-Fi Hotspot āœ… Huduma za michezo ya kubashiri āœ… Uuzaji wa vinywaji āœ… Huduma za Printing Kwa kufanya hivyo, ofisi inaweza kuingiza zaidi ya TSh 80,000 kwa siku bila kutegemea commission pekee. Makosa yanayofanywa na mawakala wengi Kufungua biashara eneo lisilo na wateja wa kutosha Kutegemea mtandao mmoja tu Kuwa na float ndogo Kufunga mapema Kutoa huduma mbaya kwa wateja Kushindwa kusimamia vizuri mzunguko wa fedha (cash flow) Kusubiri wateja waje badala ya kufanya matangazo na kujitangaza Hitimisho Biashara ya uwakala si biashara ya utajiri wa haraka (quick money). Ni biashara inayotegemea idadi kubwa ya miamala (volume). Ukijenga wateja wa kudumu wanaorudi kila siku, biashara yako itakua. Lakini ukikosa wateja wa kutosha, hata ukiwa na float kubwa, faida yako haitakuwa kubwa.

Wote mnao taka anza uwakala na mnataka lain kuweni makini sana kama una vigezo vyote Yani leseni, tin number na nida nenda kwenye maduka ya mitandao husika ila kama huna hivyo vitu mtafute wakala ambae unamjua wewe vizuri au muaminifu kwelikweli.

Kuna changamoto imekuja saivi ukitaka lain ya uwakala halotel kuna sheria lazima uweke 100000 ya kianzio ndio lain yako ikipitishwe sasa kuna watu sio mawakala ukishamtumia tarifa hizo za lain yako eti wanatoa hiyo laki moja unakuwa umepigwa nimepokea malalamiko kwa watu wawili kwaiyo ndomaana huwa nasisitiza tafuta wakala ambae unamuani au unamjua ukipuuzia sawa ni wewe.

Na mimi huwa natoa mafunzo kabisa ya maana adi mtu unaanza kazi hakuna kitu hujui ila kwakuwa wa Tanzania tunazarauliana basi ndio hivo wengine wanajikuta kwenye matatizo ambayo wangejifunza isinge wakuta kabisa Yani.

#MixByYas #MPESA #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

10 July 2026

Wote mnao taka anza uwakala na mnataka lain kuweni makini sana kama una vigezo vyote Yani leseni, tin number na nida nenda kwenye maduka ya mitandao husika ila kama huna hivyo vitu mtafute wakala ambae unamjua wewe vizuri au muaminifu kwelikweli. Kuna changamoto imekuja saivi ukitaka lain ya uwakala halotel kuna sheria lazima uweke 100000 ya kianzio ndio lain yako ikipitishwe sasa kuna watu sio mawakala ukishamtumia tarifa hizo za lain yako eti wanatoa hiyo laki moja unakuwa umepigwa nimepokea malalamiko kwa watu wawili kwaiyo ndomaana huwa nasisitiza tafuta wakala ambae unamuani au unamjua ukipuuzia sawa ni wewe. Na mimi huwa natoa mafunzo kabisa ya maana adi mtu unaanza kazi hakuna kitu hujui ila kwakuwa wa Tanzania tunazarauliana basi ndio hivo wengine wanajikuta kwenye matatizo ambayo wangejifunza isinge wakuta kabisa Yani. #MixByYas #MPESA #Vodacom

Hapo watu wanaweza wasinielewe kabisa ila nimesema kwa sababau hii.

Ivi we haijawahi tokea jioni labda umefunga hesabu milion nne asubuhi unapiga hesabu unakuta milion tatu na laki tisa na elfu tusini au ukakuta milion nne na elfu tano yani ikazidi.

Sababu pia huwa hii unapo fanya hesabu baada ya kazi kiukweli akili yako inakuwa imechoka kabisa kwaiyo wakati unapiga hesabu unajikuta unakosea sababu akili imechoka wengi najua inawakuta hiii wengine adi wanasema ni uchawi hapana asilimia mia huwa akili imechoka.

Asubuhi mapema tayari akili inakuwa na utulivu mkubwa ukipiga hesabu asilimia mia inakuwa sahihi kabisa kwaiyo muda mzuri huwa asubuhi.

Ndomaana walim wenzangu wa hisabati mnajua vipindi vya hisabati lazima viwe asubuhi unajua nikwanini basi ndio kama sababu hiyo.

#MPESA #Vodacom #Airtel
mpesabusiness

mpesabusiness

9 July 2026

Hapo watu wanaweza wasinielewe kabisa ila nimesema kwa sababau hii. Ivi we haijawahi tokea jioni labda umefunga hesabu milion nne asubuhi unapiga hesabu unakuta milion tatu na laki tisa na elfu tusini au ukakuta milion nne na elfu tano yani ikazidi. Sababu pia huwa hii unapo fanya hesabu baada ya kazi kiukweli akili yako inakuwa imechoka kabisa kwaiyo wakati unapiga hesabu unajikuta unakosea sababu akili imechoka wengi najua inawakuta hiii wengine adi wanasema ni uchawi hapana asilimia mia huwa akili imechoka. Asubuhi mapema tayari akili inakuwa na utulivu mkubwa ukipiga hesabu asilimia mia inakuwa sahihi kabisa kwaiyo muda mzuri huwa asubuhi. Ndomaana walim wenzangu wa hisabati mnajua vipindi vya hisabati lazima viwe asubuhi unajua nikwanini basi ndio kama sababu hiyo. #MPESA #Vodacom #Airtel

Hapa kuna hatari mbili zinaweza kukuta.

1. Hela kweli anatumiwa anakwambia nipe sasa hiyo nawahi we utaitoa sawa ukimpa tu akatoka pale muamala unarudishwa chap.

2. Tatzo la pili anaweza kuwa huyo ni tapeli tayari kashamtapeli mtu kwaiyo yule mtu anasema nipe namba nikutumie kwaiyo anakuja kwako unampa namba yako anamtumia yule mtu Afu yule si anatuma kwako we unatoa unampa huyo tapeli anasepa kesi inabaki kwako sasa namba yako Ndo imetumika kupokea hela kumbe hela hiyo ni ya utapeli unadakwa wewe kwaiyo kuwa makini.
mpesabusiness

mpesabusiness

9 July 2026

Hapa kuna hatari mbili zinaweza kukuta. 1. Hela kweli anatumiwa anakwambia nipe sasa hiyo nawahi we utaitoa sawa ukimpa tu akatoka pale muamala unarudishwa chap. 2. Tatzo la pili anaweza kuwa huyo ni tapeli tayari kashamtapeli mtu kwaiyo yule mtu anasema nipe namba nikutumie kwaiyo anakuja kwako unampa namba yako anamtumia yule mtu Afu yule si anatuma kwako we unatoa unampa huyo tapeli anasepa kesi inabaki kwako sasa namba yako Ndo imetumika kupokea hela kumbe hela hiyo ni ya utapeli unadakwa wewe kwaiyo kuwa makini.

Kama siku mtandao sio mzuri miamala haiendi au kutoa shida acha kwanza paka mtandao uwe vizuri sababu kuna mazara haya ukilazimisha.

Unaweza toa afu messege isirudi mteja akasema mimi nimetoa nipe hela salio kwangu hamna hela imekuja kwako ukapiga sehem husika wakakwambia mtandao mbovu hela itakuja kwako, sawa unampa hela mteja afu hela hairudi kwako inaenda tena kwa mteja hasara tayari hiyo.

Cha pili messege hairudi kwako kwa mteja inarudi anakuonesha message sasa hapo kuna mawili wengine ni matapeli akisha gundua mtandao mbovu anaweza edit haraka message akakuonesha ametoa sababu kwako messege haijaja ukaamini ukampa hela kumbe muamala haujaja kwako.

#MPESA #Airtel #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

8 July 2026

Kama siku mtandao sio mzuri miamala haiendi au kutoa shida acha kwanza paka mtandao uwe vizuri sababu kuna mazara haya ukilazimisha. Unaweza toa afu messege isirudi mteja akasema mimi nimetoa nipe hela salio kwangu hamna hela imekuja kwako ukapiga sehem husika wakakwambia mtandao mbovu hela itakuja kwako, sawa unampa hela mteja afu hela hairudi kwako inaenda tena kwa mteja hasara tayari hiyo. Cha pili messege hairudi kwako kwa mteja inarudi anakuonesha message sasa hapo kuna mawili wengine ni matapeli akisha gundua mtandao mbovu anaweza edit haraka message akakuonesha ametoa sababu kwako messege haijaja ukaamini ukampa hela kumbe muamala haujaja kwako. #MPESA #Airtel #Vodacom

Katika kitu muhimu sana kwenye uwakala ni eneo yani location kabla hujafungua ofisi hakikisha unafanya uchunguzi wa eneo unalo taka kufanya uwakala leo natoa somo.

Kwanza usipende kwenda kwenye eneo ambalo washatoka zaidi ya mawakala wawili hilo eneo lazima liwe na shida.

Cha pili chagua eneo ambalo unajua kuna uhitaji sana wa huduma hiyo atakama ni mtaani ipo mitaa mingi yenye uhitaji kweli wa huduma ya uwakala ambapo ukifungua wewe unakuwa mkombozi wao.

Ukiwa na mitaji mkubwa hakikisha unakuwa sokoni, barabarani, karibu na vyuo, stand karibu na huduma za afya zilizoko mjini.

Ukichagua eneo hivo nilivyo sema huto jutia 

#MPESA #Airtel #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

7 July 2026

Katika kitu muhimu sana kwenye uwakala ni eneo yani location kabla hujafungua ofisi hakikisha unafanya uchunguzi wa eneo unalo taka kufanya uwakala leo natoa somo. Kwanza usipende kwenda kwenye eneo ambalo washatoka zaidi ya mawakala wawili hilo eneo lazima liwe na shida. Cha pili chagua eneo ambalo unajua kuna uhitaji sana wa huduma hiyo atakama ni mtaani ipo mitaa mingi yenye uhitaji kweli wa huduma ya uwakala ambapo ukifungua wewe unakuwa mkombozi wao. Ukiwa na mitaji mkubwa hakikisha unakuwa sokoni, barabarani, karibu na vyuo, stand karibu na huduma za afya zilizoko mjini. Ukichagua eneo hivo nilivyo sema huto jutia #MPESA #Airtel #Vodacom

Mitandao ya sim ina sheria zake kwa faida yao na sisi tunahitaji faida pia sio tuwafanyie kazi wenyewe hapana sasa tunachotakiwa nikufata sheria zao wanavyotaka ila na sisi tunajiongeza.

Wanasema lipa nikwaajili ya wafanya biashara sawa tumekubali sisi sio wafanay biashara ila leseni yetu inaturuhsu tufanye biashara tofauti tofauti sababu hamna lessen ya wakala haipo popote pale.

Mawakala kwenye ofisi yako ongeza bizaa kama maji, vinywaji vingine, nguo miwa chochote ambacho utaona kinafaa afu tumia lipa sasa hizo apo huvunji sheria unahesabika  kama mfanya biashara api vipi ni akili kidogo 

Hela lazima tuendelee kupiga paka watuboreshee mapato na sisi commission ziwe nzuri na sheria za ajabu watoe asa kumtumia mteja alie mbali ni kosa sasa mimi wakala najuaje kama yupo mbali sheria za hovyo kbsa.

#MPESA #MixByYas #Airtel #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

5 July 2026

Mitandao ya sim ina sheria zake kwa faida yao na sisi tunahitaji faida pia sio tuwafanyie kazi wenyewe hapana sasa tunachotakiwa nikufata sheria zao wanavyotaka ila na sisi tunajiongeza. Wanasema lipa nikwaajili ya wafanya biashara sawa tumekubali sisi sio wafanay biashara ila leseni yetu inaturuhsu tufanye biashara tofauti tofauti sababu hamna lessen ya wakala haipo popote pale. Mawakala kwenye ofisi yako ongeza bizaa kama maji, vinywaji vingine, nguo miwa chochote ambacho utaona kinafaa afu tumia lipa sasa hizo apo huvunji sheria unahesabika kama mfanya biashara api vipi ni akili kidogo Hela lazima tuendelee kupiga paka watuboreshee mapato na sisi commission ziwe nzuri na sheria za ajabu watoe asa kumtumia mteja alie mbali ni kosa sasa mimi wakala najuaje kama yupo mbali sheria za hovyo kbsa. #MPESA #MixByYas #Airtel #Vodacom

Wakala Forum

Je wewe ni wakala?

Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.