sophiapatric
6 June 2026
Habari jaman.naomba kufahamu.je ukiajiri mtu wa kukaa kwenye uwakala kiasi cha mshahara kwa mwezi
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
sophiapatric
6 June 2026
Habari jaman.naomba kufahamu.je ukiajiri mtu wa kukaa kwenye uwakala kiasi cha mshahara kwa mwezi
justin
6 June 2026
Tangu nimesajili laini Kila nikijaribu kutoa naambiwa Huduma hii haipatikani.... Nifanyeje Jamani Lakini nikienda kwa wakala mkuu inakubaliii

sayalelsabore96gmail
6 June 2026
Tukipata APPLICATION kama hii ya Azam pesa na ya Yas ni nzuri sana kwanza inatunza taarifa za miamala kwa hiyo ata mtu akikaa wiki akija kudai unamuonesha
denisonesm
6 June 2026
Wakubwa kwa wadogo mi naomba kujua namna kulinda pesa dhidi ya chuma ulete kwenye biashara ya M-Pesa
justin
6 June 2026
Wakuu Naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu Jinsi ya kuhamisha pesa kwenye lipa namba ya Mix by YAS kwenda YAS...
ismailjr
6 June 2026
NAHITAJI WAKALA MKUU KAMA ANAPATIKANA KISEMVULE
olando
6 June 2026
lain ya wakala mkuu halopesa na airtel money vigezo gani niweze kupata wakuu?
immo
6 June 2026
Good night
kelvin
6 June 2026
Mimi sijalipwa kamisheni ya mtandao wa yas je nifanyeje
bigabirodevathgmail.
6 June 2026
Naomba kufahamu namuna ya kutambua hela fekii
sham
6 June 2026
Hivi kutumia lipa namba ni uamuzi wako au mpak mteja mwenyew atake

mpesabusiness
6 June 2026
Hizi Sheria zingine kiukweli ukiangalia vizuri zinatuonea mawakala bila kosa lolote. Eti kumtumia mteja mara mbili au zaidi inakatwa hela sas mnataka tuhudumie mbuzi jamani si hawa hawa wateja asa mtu anashuguli zake inatakiwa aweke hela ata mara mbili mara tatu na ana lain moja ko awe anatembea kutafuta mawakala tofauti asakama eneo Hilo yupo tu wakala mmoja ko asipate huduma. Aya kuacha hilo sababu ipi unasema wakala alifanya hivo umkate sasa kakosea nini ohh inakuwa kama una foji muamala unaweza kuwa ni wewe mwenyewe wakala unajilushia sasa tatizo liko wapi kwani ukiwa wakala ndo huwi mteja Sheria hizo zaifu sana huo ndo ukweli. Follow me Mpesa business #MPESA #MixByYas #Vodacom #haloteltanzania
vagly
6 June 2026
Wakeup namna ya kupata laini za uwakala unafanyaje

mpesabusiness
6 June 2026
Hii mitandao Vodacom YAS na mingine Kuna sehem inabidi kiukweli mboreshe kabisa baazi ya vipengele. Hii Sheria mfano ya kusema ukituma pesa mteja akiwa mbali ni kosa Mimi naomba kuuliza unajuaje kama mteja yuko mbali huwezi kila mteja umuulize eti unamtumia mtu akiwa wapi na hata Ivo akikudanganya utamjuaje. Kiukweli mawakala hatuna pakusemea Kuna mambo mengi tunaomba yabadirishwe moja wapo ni Hilo apo mitandao mtusikilize mawakala. Vodacom Tanzania Yas Tanzania #Airtel #MPESA #AirtelKenya
christopher
6 June 2026
COLONIAl Social services was a Bitter Pill own their own Discuss the statement in 6 factors hapo ndo mtajua Voda alivyo jichanganyà Sasa

mpesabusiness
6 days ago
Wengi sana mmeniuliza swali hili nikitaka kuwa wakala nafanyaje fanyaje haya twende kazi ausio. Ili uwe wakala hakuna vitu vigum hapana nikawaida tu mambo baazi ya kufata kama haya. 1. Upate lain za uwakala. Hizi ndo lain za kazi yani kiufupi vitendea kazi vikubwa na muhim kwenye uwakala Kuna kutuma pesa Kwa mteja na, mteja kutoa pesa kuja kwako Kwa wakala sasa Kuna lain inabdi uwe nazo ndo uwe wakala zinaitwa till, kazi yake ndo hiyo kutuma pesa na kupokea pesa toka Kwa mteja je unazipataje? Sehem ya uhakika Zaidi nikwenye maduka yao mfano vodashop japo wapo mawakala wanao sajili lain hizo kama Mimi mwenyewe. Vigezo ukienda vodashop au Yasshop. .nida na kitambulisho chake. .tin number . lessen ya biashara Hivyo ndo vitu muhim vya kupata lain za uwakala na pia Kwa wakala so lazima uwe na lessen ya biashara. 2. Mtaji. Kitu kingine cha muhim ni mtaji utao Anza nao sasa baada ya kupata lain hizo ata ukianza na laki tano hawakukatazi ata laki tatu jamaa ni wewe ila atae Anza na laki tano na milion moja sio Kwamba watalingana faida hapana kama wote mnapata wateja basi wa mtaji mkubwa ndo atapata faida kubwa zaidi. 2. Eneo Ukishakuwa na mtaji na lain unatafuta eneo sasa ambalo wewe utalimudu kulipia basi ndo hapo unafanyia kazi kikubwa liwe eneo zuri kila siku nazani nasema Hilo kuhusu eneo zuri mnajua nishawelekeza sana. 3 hii naongeza mwenyewe uwe na elim kidogo ya mpesa. Usifungue mpesa ukawa hujui kabisa kinachoendelea basi lazima utapitia wakati mgum mwanzoni huo ni ukweli usio pingika kabsa kwaiyo tafuta ka elim kidogo jinsi yakujikinga na matapeli na jinsi ya kuzibiti MTAJI wako. Kwaiyo hivyo ndo vitu vinafanya uwe wakala hakuna kingine Mzee wangu na dada yangu na kaka yangu na mdogo wangu. Follow me Mpesa business #MPESA #MixByYas #AirtelKenya #Vodacom
anita
6 June 2026
Naomba msaada Wa jinsi ya kuangalia Salio kwenye lipa namba
justin
6 June 2026
Jamani Mtu aliyepata license ya biashara online anisaidie tafadhali

sengaosk
6 June 2026
Wakuu habari za wakati huu naomba kujifunza kidogo kuhusu uwakala mkuu wa halopesa kwa mwenye uelewa kuhusu hili mfano vigezo mtani vifaa vya kuwa navyo nk......asanteni
christopher
6 June 2026
Jamn kwani voda wanadai mawakala tumia Lipa kwanini wasiziwekee zero Charge na zero Commission ili kupnguza hizo fraud then swali Lingne kwanini Wakala Mkuu nae ana Katwa anatumia Lipa je Niki mhudumia Wakala akaenda kutoa kwa manufaa yake mengne labda aka weka kwenye Bank Kosa langu Mimi lipo wazi hpo?? Mbna mna tuadhibu bila kufanya utafiti wakina Voda com mbna Safaricom hii Tabia haipo kabsaa
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.