Machapisho

Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

Mwanzo nilikuwaga najua kuanza biashara ya uwakala paka uwe na mamilion ya hela kumbe ata so kweli ata laki Tano unaweza kuanza zingatia neno kuanza.

Nilikuwa nikiuliza watu kuhusu uwakala wanasema tulia we dogo we kula ugali wa  Bure kwenu huwezi uwakala ni hela nyingi sikukata tamaa nikawa naenda vodashop naogopa kuuliza siku moja nikaona niulize tu vipi uwakala naweza Anza na shingapi akasema dogo ukiwa na lain za uwakala na sehem yakufanyia hii biashara ata laki mbli na nusu unaanza nikaona huyu jamaa vipi.!!!

Akanielezea so paka uanze na mitandao yote Kwa uku kigoma dogo Anza tu na voda na tigo akasema we si umesema kuanza tu au? Nikasema ndiyo akasema sasa we tafuta lain hizo na sehem anza.

Nikicheki mimi namilion moja nikasema ishi kumbe naweza bana nikatafuta hizo lain kama laki moja na nusu lain tatu voda, Yas, na Airtel maana yule yule jamaa ndo alinisaidia kupata kutokana na udogo wangu alisema ananisaidia .

Basi sehem uku kigoma so bei ata ka frame nikalipia miezi 3 Kwa 15000 mwezi mmoja ko mtaji rasmi nilianza Kwa laki saba nakumbuka, nikafanya kazi Ivo ivo mdogo mdogo nikawa naijua kazi hii kidogo kidogo nkazoea fresh nikapata jina dogo wakala ndo adi Leo mambo yako safi kabisa..

Usikate tamaa Anza sasa na ulicho nacho kikubwa zingatia masomo yangu hapa usizarau kama unaipenda kazi hii.

Follow me Mpesa business 

#MixByYas #MPESA #AirtelKenya #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

6 days ago

Mwanzo nilikuwaga najua kuanza biashara ya uwakala paka uwe na mamilion ya hela kumbe ata so kweli ata laki Tano unaweza kuanza zingatia neno kuanza. Nilikuwa nikiuliza watu kuhusu uwakala wanasema tulia we dogo we kula ugali wa Bure kwenu huwezi uwakala ni hela nyingi sikukata tamaa nikawa naenda vodashop naogopa kuuliza siku moja nikaona niulize tu vipi uwakala naweza Anza na shingapi akasema dogo ukiwa na lain za uwakala na sehem yakufanyia hii biashara ata laki mbli na nusu unaanza nikaona huyu jamaa vipi.!!! Akanielezea so paka uanze na mitandao yote Kwa uku kigoma dogo Anza tu na voda na tigo akasema we si umesema kuanza tu au? Nikasema ndiyo akasema sasa we tafuta lain hizo na sehem anza. Nikicheki mimi namilion moja nikasema ishi kumbe naweza bana nikatafuta hizo lain kama laki moja na nusu lain tatu voda, Yas, na Airtel maana yule yule jamaa ndo alinisaidia kupata kutokana na udogo wangu alisema ananisaidia . Basi sehem uku kigoma so bei ata ka frame nikalipia miezi 3 Kwa 15000 mwezi mmoja ko mtaji rasmi nilianza Kwa laki saba nakumbuka, nikafanya kazi Ivo ivo mdogo mdogo nikawa naijua kazi hii kidogo kidogo nkazoea fresh nikapata jina dogo wakala ndo adi Leo mambo yako safi kabisa.. Usikate tamaa Anza sasa na ulicho nacho kikubwa zingatia masomo yangu hapa usizarau kama unaipenda kazi hii. Follow me Mpesa business #MixByYas #MPESA #AirtelKenya #Vodacom

Hatushauri upokee sim zingine zozote kwenye lain yako ya uwakala ili uwe salama na utapeli.

Lakini Kuna namba muhim sana inabidi uwe haraka kuzipokea ikipiga kwenye lain yako ya uwakala namba yenyewe ni 100 kwanini tunasema uwe fast kupokea ni hii.

Adi mtandao wanakupigia Kwa namba hiyo lazima asilimia kubwa Kuna tatizo hasa wanataka kukujulisha labda Kuna mteja anataka kurudisha muamala ko wanataka kukuuliza je uko nae huyo mteja au nisawa arudishe na maswali mengine ili kuweka usalama.

Kwaiyo point ni usipokee namba zingine zozote zaidi ya namba 100.

Nahapa ndo napo sisitiza sim yako ya kazi ya uwakala usimpe mtu ata mala moja anaweza save namba yake kwenye sim yako ila aka save namba 100 ko anaweza piga akiwa mbali we Kwa haraka unaona ni 100 kumbe sio Ali save kabla nazani kidogo mnaelewa ndugu zangu.

Follow me Mpesa business 

#Vodacom #MPESA #MixByYas #AirtelKenya
mpesabusiness

mpesabusiness

6 days ago

Hatushauri upokee sim zingine zozote kwenye lain yako ya uwakala ili uwe salama na utapeli. Lakini Kuna namba muhim sana inabidi uwe haraka kuzipokea ikipiga kwenye lain yako ya uwakala namba yenyewe ni 100 kwanini tunasema uwe fast kupokea ni hii. Adi mtandao wanakupigia Kwa namba hiyo lazima asilimia kubwa Kuna tatizo hasa wanataka kukujulisha labda Kuna mteja anataka kurudisha muamala ko wanataka kukuuliza je uko nae huyo mteja au nisawa arudishe na maswali mengine ili kuweka usalama. Kwaiyo point ni usipokee namba zingine zozote zaidi ya namba 100. Nahapa ndo napo sisitiza sim yako ya kazi ya uwakala usimpe mtu ata mala moja anaweza save namba yake kwenye sim yako ila aka save namba 100 ko anaweza piga akiwa mbali we Kwa haraka unaona ni 100 kumbe sio Ali save kabla nazani kidogo mnaelewa ndugu zangu. Follow me Mpesa business #Vodacom #MPESA #MixByYas #AirtelKenya

Biashara ya uwakala kiukweli kabisa faida ipo nzuri tu kubwa tena bila yakutumia nguvu na akili sana.

Ila Kuna vitu muhim Sana vya kuzingatia ili biashara uione ni nzuri na yenye faida kama ndo unaanza jifunze hapa.

1. Cha kwanza cha muhim mtaji.

Huwa napenda sana kuwa mkweli ili kuokoa watu wanao taka kuanza biashara hii, mtaji ni kitu kikubwa sana kinafanya mtu apate faida kubwa sana kwenye biashara hii sababu utaweza kuwahudumia wateja karibia wote wanao kuja kwako na biashara hii miamala ndo hela yako wewe Yani watu wanavyo fanya miamala ndo hela wewe unapata.

2. Eneo zuri.

Hii ni sehem wewe unafanyia kazi, sio kila eneo eti linafaa kuweka ofisi ya uwakala mengine hayafai kabisa tafuta eneo lenye watu wengi, mzunguko wawatu mfano hospital, mashuleni, chuoni stand, sokoni na mitaa iliyo changamka zaidi hapo utapiga hela niamin Mimi.

3.  Kuwa makini sana sana na utapeli.

Yani hili ni jambo muhim zaidi zaidi usipokuwa makini apa unaweza pata  hasara kubwa ila ukiwa makini nkufatlia mbinu mbali mbali za utapeli itakupunguzia hatari kubwa kutapeliwa.

4. Hap vijana mnao waajili hakikisheni kwanza mnawapa elim ten elim kubwa kuhusu utapeli inavyo fanyika japo sio utajua mbinu zote ila nyingi tushasema hapa ko ukimpa maelekezo kila siku ya utapeli atakuwa makini sana kuliko yeye kuto jua kama hamna utapeli hio ni mbaya sana.

Hayo ni mambo muhim.

Follow me Mpesa business 

#MPESA #MixByYas #Airtel #Vodacom
mpesabusiness

mpesabusiness

6 days ago

Biashara ya uwakala kiukweli kabisa faida ipo nzuri tu kubwa tena bila yakutumia nguvu na akili sana. Ila Kuna vitu muhim Sana vya kuzingatia ili biashara uione ni nzuri na yenye faida kama ndo unaanza jifunze hapa. 1. Cha kwanza cha muhim mtaji. Huwa napenda sana kuwa mkweli ili kuokoa watu wanao taka kuanza biashara hii, mtaji ni kitu kikubwa sana kinafanya mtu apate faida kubwa sana kwenye biashara hii sababu utaweza kuwahudumia wateja karibia wote wanao kuja kwako na biashara hii miamala ndo hela yako wewe Yani watu wanavyo fanya miamala ndo hela wewe unapata. 2. Eneo zuri. Hii ni sehem wewe unafanyia kazi, sio kila eneo eti linafaa kuweka ofisi ya uwakala mengine hayafai kabisa tafuta eneo lenye watu wengi, mzunguko wawatu mfano hospital, mashuleni, chuoni stand, sokoni na mitaa iliyo changamka zaidi hapo utapiga hela niamin Mimi. 3. Kuwa makini sana sana na utapeli. Yani hili ni jambo muhim zaidi zaidi usipokuwa makini apa unaweza pata hasara kubwa ila ukiwa makini nkufatlia mbinu mbali mbali za utapeli itakupunguzia hatari kubwa kutapeliwa. 4. Hap vijana mnao waajili hakikisheni kwanza mnawapa elim ten elim kubwa kuhusu utapeli inavyo fanyika japo sio utajua mbinu zote ila nyingi tushasema hapa ko ukimpa maelekezo kila siku ya utapeli atakuwa makini sana kuliko yeye kuto jua kama hamna utapeli hio ni mbaya sana. Hayo ni mambo muhim. Follow me Mpesa business #MPESA #MixByYas #Airtel #Vodacom

Wakala Forum

Je wewe ni wakala?

Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.