mayunga
4 days ago
Hivi float ikiisha lazima niende kwa wakala mkuu kuweka ama hata kama ni nikienda kwa wakala naweka hela ile kawaida kisha naiweka kwenye float?
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
mayunga
4 days ago
Hivi float ikiisha lazima niende kwa wakala mkuu kuweka ama hata kama ni nikienda kwa wakala naweka hela ile kawaida kisha naiweka kwenye float?
sham
4 days ago
Front imeniishia wakala nae wakuniwekea front yup mbari nanilipo sijui nifanyaje

mbugi
4 days ago
JE KWANINI? MAWAKALA WENGI WANATAPELIWA, JINSI ya kuzuia utapeli Kwa mawakala
merveille
5 days ago
Hiv lipa na wao wanapana kamisheni au vip
amanigenti616gmail.c
5 days ago
NATAKA MTU ASAJILI TIGO KWENY COD YAK NIMTUMIE ACC VOCHA NAWEKA MWENYEW
anita
5 days ago
Naomba kuuliza, TIGO na Halotel nikimhamishia wakala mwenzangu pesa wananiambia kabisa makato Kiasi kadhaa, Ila Voda na airtel makato hakuna, inamaana wanakata bila kusema au imekaaje? Au hakuna makato kabisa?

ismailjr
5 days ago
😓🙄
merveille
5 days ago
Jamani nahitaji laini ya pochi sijui inawezekana je
shafii
5 days ago
Ivi halotel wanaludishaga muamala ukituma kimakosa maana mim walinimbia mapaka waidhinishe lakin adi sas amna kitu
bigabirodevathgmail.
5 days ago
Naomba kuuliza halotel na Airtel wameshalipa kamisheni ya mwezi ulopita???
bigabirodevathgmail.
5 days ago
Ivi halotel na Airtel wameshalipa kamisheni?
bigabirodevathgmail.
5 days ago
Naomba kujua namuna ya kuangalia kamisheni ya mwezi ulopita ya airtel na halotel iliyolipwaa
mayunga
5 days ago
Msaada jamani anayeweza kunifafanulia zaidi juu ya neno commission
mpesabusiness
5 days ago
Namba hatua za kutuma pesa kutumia lain ya voda Yas halo na Airtel hatua ya kwanza adi mwisho naomba

mpesabusiness
4 days ago
Ikitokea kila kitu kipo sawa utaratbu ukawa sawa na tuka rudi kwenye till basi hela tutapa tu vizuri kama kawaida Wala ata msiwe na wasiwasi pia till huwa hazina usumbufu ata kidogo mtu yoyote anafanya kazi ya uwakala akitumia till lipa tunazikubali ila zina mzunguko kidogo. Kwaiyo tuombe kama tunarudi kwenye till basi mawakala wote Tanzania turudi kwenye till nasio rahisi inahitajika ushirikiano na hao WA mtandaoni. Tunaomba sana Vodacom watumieni message wateja waache kutaka kutoa Kwa lipa wenyewe ndo wanalazimisha Kwa sasa kama wakala Hana lipa hapati hela kabisa wateja wanasepa. Follow me Mpesa business #MPESA #MPESASafaricom #AirtelKenya #Vodacom

mpesabusiness
5 days ago
Kiuhalisia kama kila mtu angekuwa anachukua record ya kila muamala faida yake Kwa mwezi mzima basi utagundua Kuna sehem tunaingizwa Chaka Mimi nimefanya hivo ili kupata uhakika zaidi. Kila muamala nilikuwa naandika record yake sasa nimekuja kupiga hesabu commission nilio lipwa na hii nimeandika tofauti kabisa. Ndo pale wanasema hivi Kuna makosa utakuwa wakala ulifanya ndo zikakatwa mfano miamala batili kumtumia mtu mara mbili, au kutuma muamala mwingne kabla ya dakika Tano, au kumtumia mtu akiwa mbali sasa ukiangalia haya makosa Wala sio ya wakala nikumuonea Bure. Ndomaana napambana mawakala tuungane kwenye hili so wanatukata tu sasa mteja akiwa mbali Mimi najuaje sasa, au sijui eti subiri mteja dakika tano ndo utume tena kama wateja wapo ishirini sasa nisubiri dakika tano si wataondoka au eti namba moja nisihudumie mara Zaidi ya mara mbili Kwa siku sasa kama mteja ndo anataka ana bet zake yani sio sahihi kabisa. Follow me Mpesa business #MPESA #MixByYas #MPESASafaricom #Airtel #Vodacom

zengo
5 days ago
Naombeni kujua namna ya kuhamisha pesa kutoka kipochi kwenda m-pesa
shaban
5 days ago
Halafu hii mambo ya @Airtel Tanzania wakala ukipga hduma kwa wateja ukiwaulza kuhusu maswala ya commission wanakwambia uwasiliane na wakala mkuu me inanikera sana bas2

mpesabusiness
5 days ago
Leo nataka niwaambie na nyie mawakala wakuu ambao mnakula kupitia sisi bila sisi hamli na hampati hela bisha kubali. Kuna vitu vingine huwa mnaona kabisa viko tofauti ila kutusemea hamsemi mnaangalia maslahi yenu tu basi sisi tunateseka. Ivi Kwa mfano we wakala mkuu unashindwa kutetea hii Sheria inayoa sema wakala asisaidiene na wakala mwenzake eti paka wakala mkuu ivi hii Sheria walipitisha kwakuwa wenyewe wanakaa kwenye ac na vitu vya kuzunguka. Mtu yuko kijijini ni wakala kumpata wakala mkuu adi jasho inaingia sehem za Siri afu unasema wakala asiweke flot zaidi ya Kwa wakala mkuu wakati Kuna jirani yake wakala anaweza msaisidia kumpatia flot ko mtu aache kazi siku nzima eti kisa hajahudumiwa na wakala mkuu hii haipo sawa kabisa Nyie mawakala wakuu mseme mko kwenye vikao baazi ya Sheria zibadirishwe zinatuuwa sisi mawalaka huku wa chini hatuna pakusemea. Follow me Mpesa business #MPESASafaricom #MPESA #Vodacom #vodacomtanzania #MixByYas @
richardkazumba24gmai
5 days ago
Mimi ni mgeni humu ila nahitaji ku wa Wakala wa benk kama CRDB na NMB nafanyaje?
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.