unatoawapshngapisina
27 June 2026
Wakala Linda biashara ya wakala mwenzako, Mteja anatok kwa wakal mwenzak ameambiwa hana mtandao we kwa kutofikiriq unaripoka amekudanganya uyo na maneno mengine mtandao tunatofautiana mitandao tusiisha kwa kumeza
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
unatoawapshngapisina
27 June 2026
Wakala Linda biashara ya wakala mwenzako, Mteja anatok kwa wakal mwenzak ameambiwa hana mtandao we kwa kutofikiriq unaripoka amekudanganya uyo na maneno mengine mtandao tunatofautiana mitandao tusiisha kwa kumeza
godwini
27 June 2026
Habari za majukumu wapambanaji nina shida na Till ya Yas nipo Bunda naipataje
tonny
26 June 2026
Habari mawakala wa zoefu mimi ni wakala niko mwanza na wakala mwingine yuko kagera sasa yeye wateja wakiwa wengi huwa anaitumia wateja wake niwahudumie kuwawekea hela je hapa nafanya kosa?
depastor
25 June 2026
Habari za leo, samahani naomba kuelekezwa namna ya kutumia laini za uwakala kulipia maji na umeme

saidshame54gmail.com
25 June 2026
Habari zenu mawakala wenzangu Kuna huyo dogo hapo kwenye picha alikua mfanyakazi wangu kwenye ofisi yangu y uwakala kigamboni,kaiba pesa zangu zote za mtaji naombeni kwayoyote atakaemkuta sehemu anipe taarifa kupitia namba zangu 0686905551

mpesabusiness
24 June 2026
Tuambie wakala hii kazi yetu inakulipa kweli? #MPESA #Airtel #Vodacom #WakalaTanzania
neema
23 June 2026
Samahani wakuu ivi fibre za TTCL ziko vizuri Kwa matumizi na ku connect watu per day?
amon84397gmail.com
23 June 2026
jaman msaada tokea asubh Voda yangu ya uwakal imeandika emergency mpka saiz kama Kuna mtu anajua please msaada wasapu 0617590061

mpesabusiness
23 June 2026
Ushahidi huu mwenzetu lipa yake kaja agent kufunga sasa zinafaa hivo hivo usije lalamika. #MPESA #Vodacom #MixByYas
justin
23 June 2026
Naomba kuuliza Gawio la YAS ni kwa Mawakala wa muda mrefu tu au Ni wote
gracesimon
23 June 2026
Jaman hiv Hawa watu ambao Hawataki mafanikio ya wengne huwa Wanashda Gan
mlumbo
23 June 2026
Habar zenu mawakala nina swali hapa Ukituma milioni 5 mpaka 10 kupitia yas unaweza pata commissioni ya kiasi gani na ikiwa inajirudia kila siku je utaikuta mwisho wa mwezi au kuna makato mengine

mange_solver
24 June 2026
_LIPA KWA SIMU YAS STORES 2,3NA KUENDELEA UNAPATA_ *KAMA TAYARI UNA LIPA YA YAS NA UNAHITAJI LIPA YA PILI KWA NIDA YAKO* *NJOO INBOX š„* š š ššŖšš¦ššššš”š¢ ā ļø > Call /whatsapp > 0753947373š
isdory
23 June 2026
Naomba kuuliza mtu akija akakwambia muamala haujafika na umeufanya na ukipiga huduma Kwa wateja Wanasema hujafanya muamala inakuaje kwangu Kila siku Wanakuja

mange_solver
23 June 2026
š§šØš”šš§šš”šššš ššš£š ššŖš š -š£šš¦š ā ššØš„ššš!!! Unahitaji njia rahisi, ya uhakika na ya kisasa ya kupokea malipo kupitia M-PESA? š š¦šš¦š š”ššš¢ š¦š¢ššØššš¦šš¢ šššš¢! Tunakuunganisha na huduma ya ššš£š ššŖš š -š£šš¦š BILA MALIPO KABISA! ā āØ š©ššššš¢ š©š¬š ššØš£šš§š ššØššØš š āØā šø Sajiri laini mpya (šš¦ššŖš imefunguliwa upande wa M-PESA) šø Tuma taarifa zifuatazo: š š”šš šš š¬š š¦šš šØ š š§šš” ššš„š§šššššš§š š š£šššš š¬š ššš§šš ššØššš¦šš¢ / š£šš¦š¦š£š¢š„š§ š š”ššš š š”šš šš š¬š š ššŖšš¦ššššš”š¢ āāāāāāāāāāāāāāāā š¼š„ š ššŖššššš š š”šššš„šššš¦ššŖš! š„š¼ Wenye laini za uwakala mtapata huduma ya ššš£š ššŖš š -š£šš¦š kwa BEI NAFUU SANA šā ļø š ššŖšš¦ššššš”š¢ ā ļøš āļø šššš / šŖššš§š¦šš£š£ š² š¬š³š±šÆšµš°š³šÆš³šÆ š ššš±ššŗš® š»š¶ šš® šµš®šæš®šøš® ā¢ šæš®šµš¶šš¶ ā¢ š»š® šš®š¹š®šŗš® š ššš„šššØ š šš”šš š§šš š¦š¢ššØš§šš¢š”š¦! š

mange_solver
23 June 2026
š„ šššš šš¼ š¼ššššš ššššš ā šÆ,š¬š¬š¬/= š„ š šššššš āļø šš šš¼ šššš āļø ššš šššš½šš ā” šæš¼šššš¼ 5 ā ššš¼šššš¼ šš¼šš¼šš ā” š š ššŖšš¦ššššš”š¢ ā ļø š¾šš”š” / šššš©šØš¼š„š„ 0753947373 š

mpesabusiness
23 June 2026
Hii pochi ya biashara ni lipa ila ni tofauti na lipa zingine kwa hivi. Hii lipa unaweza hamisha kwenye hela kwenye lipa ya kawaida Zaidi ya mara ishirini ila mwisho milion tano bila makato. Makato yake yapo chini sana so kama lipa zingine za kawaida Huu ushauri watu wengi watakumbuka badae sajili pochi ya biashara lipa hii kaaa nayo afu ofisini weka tu ata vinywaji afu utulie namaana yangu kuwaambia hiki kitu usizarau zarau hiana shida. Ukihitaji lain njoo kwangu au nenda vodashop utapata ila voda inachukua muda sana 0779573819 wasap
shadrakapaulo
21 June 2026
Sorry jaman ivi kuhamisha pesaa kutoka kweny lipaa kwenda kweny till majna yanayofanana ni unyama au vp??

mpesabusiness
21 June 2026
Ivi wateja ndugu zangu huwa mna tutest mitambo au niaje ndugu zangu jamani. #Uwakala #Vodacom #MixByYas #Airtel

mpesabusiness
21 June 2026
Vipi umepata gawio la yas mara mbili mbili huko?? #MPESA #Airtel #Uwakala
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.