zengo
5 June 2026
Kuhamisha pesa kutoka voda pochi la biashara kwenda airtel lipa inawezekana π€ͺna kama inawezekana je? Kunamakato?
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu
zengo
5 June 2026
Kuhamisha pesa kutoka voda pochi la biashara kwenda airtel lipa inawezekana π€ͺna kama inawezekana je? Kunamakato?

alexkatewelegmail.co
5 June 2026
Kajichanganya

paschal
5 June 2026
Utaratibu ni ule ule ndugu wateja wetuπ«΅
lesso
5 June 2026
Kama nahitaji lain ya wakal mkuu napataje na malipo yake yamekaaje

paschal
5 June 2026
π SIRI ZA KUPATA WATEJA WENGI KWENYE UWAKALA π₯ β Kuwa mchangamfu kwa wateja β Hudumia watu kwa haraka β Fungua mapema na funga kuchelewa β Epuka kukosa float muda mwingi β Tumia matangazo ya WhatsApp Status na Facebook β Weka mazingira safi na yenye kuvutia β Muongelee mteja kwa heshima muda wote Mteja mmoja akiridhika, analeta wateja wengine wengi! π―πΌ > Omoki online services
realraphael
5 June 2026
Utaratibu wa kupata laini za uwakala unakuaje
uwesu
5 June 2026
nilkua nataka kufatlia zile POS za bank je garama na utaratibu wake upo vip msaada kwa yeyte mwenyew kufahamu
fahamungabo7gmail.co
5 June 2026
Kwanini voda wanatuma sms baadhi ya mawakala usitumie Lipa namba kutoa,je kwann wasitume Kwa mawakala wote na mbona Kuna baadhi ya watu wana Lipa zao wanakuja kutoa

tonny
5 June 2026
Tuweni makini mawakala sasa ivi wana vamiwa na kuporwa pesa hata kuuwawa uhai ni bora kuliko pesa

mbugi
4 June 2026
Habari za Leo mawakala wote Uliza swali lolote utajibiwa......
mtaumbe_33
4 June 2026
Ninashida na bango la makato la airtel

mpesabusiness
5 June 2026
Wakala wakala usije rudia kufanya hiyo tabia na kama bado usifanye tena utakuja kupigwa vibaya uwe lain ya kazi au yako usimpe mtu mwambie Sina dakika sina sms basi. Hiyo imeliza watu wengi Sana na wengi watakuja kutoa ushuhuda hapa. Follow me Mpesa business #MixByYas #Vodacom #MPESASafaricom
lazaromhongole
4 June 2026
Jamani samahann mwenye kujua machine ya selcom inapopatikana

mpesabusiness
4 June 2026
Mimi bado sijapata elim nzuri kabisa kwenye makato ya Airtel kwakweli naomba Airtel waje kutoa ufafanuzi mzuri. Kwanini mtu adi tarehe 20 akicheki salio 150000 akilipwa 100000 ivi Kwa akili ya kawaida ndugu zangu makato kweli code atakama umefanya miamala batili ndo ukatwe 50000 yote kweli jamani lbda mje mtupe ufafanuzi mnao jua hili swala kiufupi tu linaumiza hili swala sizani kama Kuna wakala anafurahia Hali hii. Airtel Tanzania #MPESA #Vodacom #MixByYas
neemajeremiah
4 June 2026
Naomba mnisaidie katika hili. Mimi ni wakala pia mfanya biashara. Kwa hiyo hili sakata la lipa namba nitalifanyaje na wateja wangu wanataka kulipia bidhaa kwa lipa namba

zengo
4 June 2026
Nyie mawakala hivi hakuna mfumo/application unaotumika kwa mawakala kwa ajiri ya kuendeshea kazi ya uwakala, kufunga hesabu kila siku nimechoka mie
amanigenti616gmail.c
4 June 2026
Habari
amanigenti616gmail.c
4 June 2026
HABARI ZA MUDA HUU WAPAMBANAJI IVI UKIKOSEA KUTUMA PESA KWA LIPA NAMBA YA TIGO HARAFU UKAPIGA HUFUMA KWA WATEJA UKAAMBIA USUBIRI. IVI WAKIMPIGIA WAKAMKOSA HERA INARUDI KWAKO AU INA BAKI KWAKE NAOMBA NIELEWππ

mpesabusiness
4 June 2026
Hili swali wengi wanajiuliza na hawapati majibu Mimi mpesa business nimekuletea somo hili ujifunze bila kusahau Kuna app ya mawakala wa TANZANIA nzima tuna jadili humo ingia play store tafuta wakala forum jiunge ili tuwe pamoja. Haya kuhusu miamala batili au Haram ambayo inapelekea watu au mawakala kukatwa ni hii miamala ifutayo. 1. Kumtumia flot wakala mwenzako. Hii ni kosa kisheria Kwa uwakala unapomtumia wakala mwenzako flot hilo nikosa kubwa wakala ahudumiwe na wakala mkuu tu. 2. Kumuhudumia mteja akiwa mbali sana na eneo lake hiyo kisheria ni kosa ko huo muamala unakuwa batili. 3. Kurudia rudia muamala wa kutuma Kwa namba moja Kwa siku moja. Unapo mtumia mtu hela mara tatu Kwa siku Kwa namba moja Hilo nikosa kisheria za uwakala ko unakuwa muamala batili. Ko hiyo ndo miamala batili. Follow me Mpesa business #MPESA #MPESASafaricom #Vodacom

rajabumkandeka
4 June 2026
Apo shida nini
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.