
ishaka
16 June 2026
habara za leo hii asubuhii mawakala we wezangu leo nitaka kujuwa hili hapaπ 1 ukiwa na Lipa namba umesaji ww huruhusiw kutoa kwa lain ya wakala yakwakoπ¬
Machapisho yanayoongoza kwa umaarufu

ishaka
16 June 2026
habara za leo hii asubuhii mawakala we wezangu leo nitaka kujuwa hili hapaπ 1 ukiwa na Lipa namba umesaji ww huruhusiw kutoa kwa lain ya wakala yakwakoπ¬

masterseba
16 June 2026
Naomba wale wote wanahitaji huduma ya VODACOM SME BUNDLE tuwasiliane,pamoja na Airtel SME BUNDLE 0793300689
yoashi
15 June 2026
nahitaji kuanza hii kazi lakini nakatishwa tamaa juu ya maneno na utapeli kwenye hii kazi naombeni ushauri wazoefu wa hii kazi

evodius
16 June 2026
Inauzwa bei nafuu sana karibu sana wateja

mpesabusiness
16 June 2026
Ndugu wakala mpya usije jaribu tena huu ujinga kitacho kukuta basi usiseme hatukukwambia kabisa. HIi ni njia ya utapeli kama ulikuwa hujui na watu walisha lia sana anakuja anakupa sim nitolee laki tano humo ila naomba laki mbili nimpe huyu kwanza anawahi unachukua unampa wakati unamtolea uku ushampa ile laki mbili ukizubaa tu hayupo afu unabaki na sim ya thamani ya efu 70000 kapita na laki mbili. Kwaiyo kuwa makini wakala mpya. #MPESASafaricom #Vodacom #MPESA #MixByYas

mpesabusiness
15 June 2026
Usije kaa ukaanza msikiliza mtu ana kwambia biashara Fulani haina hela kabla wewe hujaifanyia uchunguzi. Kuna mawakala kabisa wanasema uwakala hauna hela ila hapo hapo Kuna watu wanapiga pesa za hatari kwenye uwakala mashahidi naomba mta comment apo kama nasema uongo. Ukiwa na mtaji ata milion tatu na ukiwa eneo zuri sana la watu wanao fanya miamala ukiwa na mkombozi wetu wa sasa lipa ndugu yangu unapiga hela tu nzuri mbona tena nzuri niamini Mimi kikubwa uzingatie vitu tunavyo piga kelele kila siku. 1. Eneo 2. Mtaji. 3 huduma nzuri Kwa wateja 4.umakini mkubwa kwenye utapeli basi apo ume win tayari. #MixByYas #MPESASafaricom #Vodacom #AirtelKenya

mdukuzi
16 June 2026
Hii ni fursa Kwa vijana wote wa kitanzania. Njoo nikupe access ya kuuza bando za Vodacom. SME na Unlimited bundle Kisha utalipwa 36% mara tu baada ya kuuza bundle Hilo. Nicheki WhatsApp: +255762809698

mpesabusiness
16 June 2026
Haya twende haraka nilete somo kila Mtu ajifunze vizuri. #AirtelKenya #Vodacom #MixByYas #vodacomtanzania

mpesabusiness
15 June 2026
Baazi ya mawakala tuache chuki mwisho tutakuwa wachawi sasa yani yani mtu unamuonea tamaa wakala mwenzako kisa anapata watu wengi wewe hupati afu wateja unawaambia eti kwangu hamji mnaenda kule na siku akiwa kafungw msije kwangu, mwehu wewe kabisa. Biashara haiko hivo kabisa yani biashara inatakiwa ujue kwanini kwanza mimi nakosa wateja wanaenda pengine Kuna vitu vingi sana kwenye uwakala vinasababisha Hilo. 1. Kauli mbaya Kwa wateja. 2. Huduma zikiwa hazipatikani yani flot mara hamna, au cash au subiri kwanza nikimbilie flot , hizo zinaweza sababisha kukosa wateja. 3. Kuchelewa sana kufungua ofisi. 4. Kupigwa kitalaam na wazee wa kazi yani usipate wateja kabisa. Hivyo ndo vitu kwanza uchunguze unavyo huna kabla ya kuanza kuweka chuki Kwa wakala mwenzako acha chuki haitokusaidia Chochote kile we jifunze acha ukichwa maji. #MPESASafaricom #MPESA #Vodacom #Airtel #AirtelKenya #MixByYas

mpesabusiness
16 June 2026
Hizi ni gawio jamani halotel wapo safi hawanaga mawenge we kunywa supu tu apo. Halotel Tanzania #Vodacom #mpesafaricom #MixByYas #Airtel
sham
15 June 2026
Jamn ndugu zangu hivi kimfano mteja kaja kutolewa hera na lipa namba kwenye laini yake Kuna 40000 alafu anakwambia nataka nitoe elf 20000 sasa apo Mimi malip yangu nitapataje ap kasemti
merveille
15 June 2026
Je hiyo laini ya lipa kipochi inauwezo wa kuhamisha fedha kwenda till kama lipa ya kawaida

mange_solver
16 June 2026
π₯ ππππ ππΌ πΌπππππ πππππ β π―,π¬π¬π¬/= π₯ π ππππππ βοΈ ππ ππΌ ππππ βοΈ πππ ππππ½ππ β‘ πΏπΌππππΌ 5 β πππΌππππΌ ππΌππΌππ β‘ π π ππͺππ¦πππππ‘π’ β οΈ πΎππ‘π‘ / ππππ©π¨πΌπ₯π₯ 0753947373 π
ishaka
16 June 2026
Leo nimekuja na hii wakala nataka waifai alionazo anitafute Bei zake nijuwe mapema

mpesabusiness
15 June 2026
Kuna vitu tu ukivizingatia vizuri basi ata huo mtaji nimesema una toboa vizuri sana yani. Moja hakikisha cash ndo unakukuwa nyingi sana kama mtaji wako ni kuanzia milion moja na nusu cash ndo uweke iwe nyingi sana upande flot usifanye miamala ya hela nyingi sababu utapoteza flot nyingi ambayo ungefanya miamala mingi yenye faida kuliko muamala mmoja Alafu kwenye kutoa nazani mnajua vizuri tunatumia lain gani Kwa upande wa kutoa hela, hizo mbinu ukizitumia unapata hela vizuri tu. #MixByYas #MPESA #AirtelKenya #mpesafaricom
abdallah
14 June 2026
Mawakala wenzangu msaada naitaji kufahamu jana nikienda bankya nmb nikatoa Hela nikajaza from kwenda ndilishan akadai network namda ukawa umeniishia akaniambia njoo juma tatu je hiyo changamoto ya kawaida tu au ndo nimepigwa

mpesabusiness
14 June 2026
Ndiyo Kuna wateja wasumbufu wanatia hasira sana sikatai na inaweza pelekea kuwajibu vibaya ni sawa kabisa. Ila Kuna mawakala ambao ata mteja awe mpole yeye ni zarau tu anajibu Kwa nyodo kama analazimishwa hasa hawa wadada ata ofisi sio zao ila zarau zarau uku hawana ata mia mawakala wa kike punguzeni zarau. Leo nimekuta wakala akimfokea bibi flani ambae alikuwa anauliza tu tena kistarabu ila anavyo jibiwa lazima ujisikie vibaya sana kwaiyo punguzeni zarau. #MPESA #Vodacom #MixByYas #AirtelKenya #MPESASafaricom #Airtel
tonny
14 June 2026
Leo nimetapeliwa asanteni sana matapeli
sam_fighter
15 June 2026
Jamani nipo geita nahitaj till ya yas anatengeneza bure aje now

mpesabusiness
15 June 2026
Kila wakala tujibu hapo mtandao gani kati ya Yas na voda upi mtandao unao kupa commission nono sana kila mwisho wa mwezi au kwenye lipa. Vodacom Tanzania Yas Tanzania #MixByYas #MPESA
Je wewe ni wakala?
Pakua app ili kupenda, kutoa maoni, na kushiriki kwenye mijadala.